Gesti za bongo

Kulala ni 50,000 lkn hawapendi kabisa anayekuja kulala sababu inakua hela ya owner!

Pale ukienda mara kwa mara unakuwa mteja wao hadi elfu 10 wanachukua
Asante kwa taarifa hii nzuri na muhimu, kuna wadau wapo hapa wanafuatilia kwa karibu na notebooks mikononi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…