Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Sawa boss
 
Sawa boss, ifanyie kazi mapema ili tupate nafuu. Usisahau kutujulisha utakayoyakuta huko. Na ya huko duniani kwingineko.
 
Nakubaliana nawe, lakini crazy opinion ya serikali kufany kila kitu wakati kuna wilaya hapa mjini 75% ya vituo vya afya ni binafsi. Tutahitaji muda na maandalizi.
 
Kasome vizuri Conset form uliyosaini ina mambo mengi ya msingi.

Pia nimesema kuna aina na kiasi cha makosa na adhabu. Duala lilikuwa ni kuwasilisha tatizo la msingi na kushughulikiwa kulingana na shida halisi.

Huku hatuna details, ila makosa yapo.
Ok uhuni wenu tumeujua siwez kuruhusu mgonjwa wangu au mimi kutibiwa kweny hizo hospitali uchwara za serikali

Surgery ndogo tu mnasababisha shida kwenye figo.

Halafu gharama za ujinga wenu na uzembe wenu mnatubebesha sisi
 
Sawa boss, ifanyie kazi mapema ili tupate nafuu. Usisahau kutujulisha utakayoyakuta huko. Na ya huko duniani kwingineko.
Hatutafanyia gizani kama mnakofanyia nyie.

Itakuwa mchana kweupe na hadharani kama humu jukwaani.

Tuna nini cha kuficha inapokuja suala la haki?

Tunahitaji katiba mpya. Kwa hakika katiba mpya lakini na hili ni dharura kweli kweli.

Kwa hakika pamoja na katiba mpya hili nalo ni la kumulika na tunajua wanufaika ninyi na hili ni wezi wachache tu.

Nisiache kukwambia tunapata inputs nyingi tu tokea mahospitalini huko kwa wafanyakazi wasioridhika na hali hIzi.

Ninaamini tuko upande sahihi. Upande wa haki na pia ulio upande wa wengi.
 
Ok uhuni wenu tumeujua siwez kuruhusu mgonjwa wangu au mimi kutibiwa kweny hizo hospitali uchwara za serikali

Surgery ndogo tu mnasababisha shida kwenye figo.

Halafu gharama za ujinga wenu na uzembe wenu mnatubebesha sisi
Pole boss, kuna wakati hazitakuwa uchwara nasi hatutakuwa wajinga.
 
Sawa, wishing you all the best.
 
Ok uhuni wenu tumeujua siwez kuruhusu mgonjwa wangu au mimi kutibiwa kweny hizo hospitali uchwara za serikali

Surgery ndogo tu mnasababisha shida kwenye figo.

Halafu gharama za ujinga wenu na uzembe wenu mnatubebesha sisi
Unakimbilia kijiweni siyo? mbona hujasolve tatizo coz wale wale uliowakimbia asubuhi ndio watakukuta jioni huko na njaa itakuwa imekuuma sana.
 
We are all human best wishes ni kitu kizuri. Kufanikiwa kwako ni kwangu na yule plae.
Ingekuwa kufanikiwa kwangu, na yule ni kwako tusingeshirikiana kupata gharama sahihi za huduma hIzi?
 
Ingekuwa kufanikiwa kwangu ni kwako tusingeshirikiana kupata gharama sahihi za huduma hIzi?
Gharama zipo mheshimiwa pata kwa kila sehemu, ukifika kituo cha afya kama notice board haina hiyo kitu muulize mkuu wa kituo. Ingawa hawezi kuweka zote kwani ni nyingi. Hivyo, mwambie akusaidie soft copy au hard copy zake.

Tusonge mbele hilo si tatizo.

Ila ujue zitatofautiana kulingana na level ya kituo na eneo kituo kilipo.
 
Unakimbilia kijiweni siyo? mbona hujasolve tatizo coz wale wale uliowakimbia asubuhi ndio watakukuta jioni huko na njaa itakuwa imekuuma sana.
Vigumu prvt kuboronga
 

Tuweke kumbukumbu sawa sawa:

"Tunachohitaji ni break down ya gharama ya huduma moja moja kwenye hospitali za umma."

Kwa maana nyingine:

"Kujua gharama za consumables kwa kila huduma kuhalalisha bei anayotozwa mgonjwa kwa huduma husika."

Tunajua kuwa serikali imewekeza vilivyo kwenye hospitali hIzi na pia hulipa mishahara ya wafanyakazi na hutoa bajeti Kila mwaka kwa ajili ya dawa, stationeries, magari nk.

Tunajua pia kuwa pesa wanazolipa wateja huishia serikalini.

Wasiwasi wetu ni kuwa bei zinazotozwa ni kubwa mno kwa watu au mfuko wowote wa bima kutokufilisika.

Ni nia yetu kuona mifuko hii haitumiki vibaya na wajanja wachache.

Kufanyika kwa "independent audit" kujua kama kuna upungufu wa bajeti, ni kwa kiasi gani na namna gani ifidiwe, bila shaka itakuwa ni njia sahihi zaidi ya kupata haki kwa wote.

Ifahamike kuwa haupo uhalali wa kuibebesha mizigo isiyostahili mifuko ya bima za afya au awaye yote anayelipia gharama hIzi.
 
Inategemea anaumwa nini kama kalazwa ICU hospital ya umma ni laki tano kwa siku bado dawa hospital binafsi zingine inafika hadi milioni mbili kwa siku.
 
Title na hadidu za rejea za andiko zimetimia twende kazi sasa.
 
Inategemea anaumwa nini kama kalazwa ICU hospital ya umma ni laki tano kwa siku bado dawa hospital binafsi zingine inafika hadi milioni mbili kwa siku.

Mkuu hIzi bei hazitoki Kwa Mungu bali zinapangwa hapa hapa na watu kama sisi.

Kwanini bei hIzi ziwe kubwa hivi kwenye hospitali za umma?

Zingatia kwenye hospitali hizo wadau ni sisi kupitia kodi na tozo mbalimbali.

Wafanyakazi wanalipwa mishahara na serikali na pia Kuna allocation ya bajeti Kila mwaka.

Kwanini ICU ni laki 5 kwa siku Kwa mtu? Kwenye laki 5 tufahamishane kimoja kimoja isiwe mbuzi kwenye gunia.

Huo ndiyo msingi wa hoja mkuu.
 
Inategemea anaumwa nini kama kalazwa ICU hospital ya umma ni laki tano kwa siku bado dawa hospital binafsi zingine inafika hadi milioni mbili kwa siku.
Watu hawaelewi haya mambo, kuna hospitali ukikaa ICU siku tatu 10,000,000/= imeisha. Ndo maana tumeomba msingi wa kusema gharama kufuru huko serikalini tuelimishane. Kuna mheshimiwa atafanya data collection na alete mrejesho ili tuanzie hapo.

Ngoja tisubiri mrejesho..
 
Title na hadidu za rejea za andiko zimetimia twende kazi sasa.

Ni vizuri kuwa tuko.pamoja kwenye kwamba hatupingi bima wala kulipia matibabu kwenye hospitali za umma.

Tunapinga ujanja ujanja.

Mjini wanasema "bongo nyoso."

Panq harufu kubwa ya upigaji.

"Tuungane kuwakataa wahuni. Wahuni SI watu wazuri."

Bahati mbaya wahuni wanaweza kuwa wapo Hadi ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…