Political Jurist
Senior Member
- Sep 6, 2021
- 143
- 120
Sio kweli kuwa hospitali za Umma zipo juu kuliko Private ,watu wanakimbiaga hospitali za Private kwenda kwenye hspitali za UMMA na hii ni kutokana na gharama kuwa nafuu kwenye hospitali za UmmaMkuu tatizo pia siyo kuwa gharama ni kubwa kama za private tu.
"Private unawaelewa wao wamejenga zao kama anavyosema Bashe."
Tatizo hapa ni kwa nini ni bei hizo zilizopo.
1. Nani anayepanga bei hIzi na kwa vigezo gani?
2. Je ni bei kwa ugonjwa, dawa, ujuzi, vifaa au majengo?
Iko kama lengo ni kuhakikisha tunakuwa mafukara kweli kweli.
wamefilisi mfuko wa bima ya afya wanataka tuanze kuchaingia tena ili waje kula tena.Kuiondoa ccm madarakani sio solution. Solution hapa ni Mfumo wa Bima ya Afya kwa wote ambao utakua mfumo rfiki wa kuhakikisha Matibabu kwa wote yanakua sawa
Sio kweli kuwa hospitali za Umma zipo juu kuliko Private ,watu wanakimbiaga hospitali za Private kwenda kwenye hspitali za UMMA na hii ni kutokana na gharama kuwa nafuu kwenye hospitali za Umma
Sekta ya Afya inahitaji fedha kujiendesha ndio maana wananchi tunapaswa kuchangia ,je ? Gharama ya matibabu ya moyo au figo inaweza kuwa sawa na mtu anayeumwa malaria ?? Utaalamu na vifaa vinalingana ?? Tusiongee mambo kwa ushabiki tukateni Bima za Afya ,serikal kwa sasa inafanya kazi nzuri ya kuleta teknolojia pamoja na ujenzi wa mahospital ya kisasa nchi nzima ,huu wakati wa ujenzi wananch hatuna budi kuchangia ili huduma iendelee BIMA BIMA BIMAA ni muhimu ndugu zanguHili jambo linashangaza sana mkuu, iweje hospitali ya umma gharama zake ziwe sawa na private wakati vifaa, wataalamu na wahudumu wanalipwa na serikali?Kuna siku nilipeleka kipimo kwa ajili ya dogo pale muhimbili nikaambiwa elfu 80, kipimo cha kawaida kabisa. Bora waseme sasa kwamba serikali imejitoa kwenye kuhudumia afya za wananchi kila mmoja abebe msalaba wake kama walivyofanya kwenye bure elimu.
wamefilisi mfuko wa bima ya afya wanataka tuanze kuchaingia tena ili waje kula tena.
BIMA YA AFYA NI KAMA TOZO ZA SIMU hakuna kitu pale, hakuna kitacho badilika kwenye matibabu
Embu toa mfano mmoja wa huduma kama consultation, surgery, medicine, or any medical consumablesTatizo ni kuwa bei hizi ni kubwa mno nje ya uhalisia.
mkuu embu fikiria kidogo kila mtu ana bima ya afya ya sh laki tatu, alafu unakwenda hospitali unaambiwa panado hakuna, we utafanya nini?Hii wataifilisi tena pamoja na kuchukua zaidi kutoka kwetu.
Mtoa mada ungekuwa na bima ya afya usinge lalamika , kata bima ya afya
Serekali Ina tumia Kodi kujenga ,kulipa mishahara na huduma za Bure kama HIV , TB ,Watoto , RCH , maternity n.k
Running cost zote zinakuhusu ,
Siwezi kubali Kodi yangu itumike kukutibia badala wewe ufanye kazi ujitibu wewe na familia Yako , Kodi yangu itakusaidia Kuweka miundo mbinu na vitendea kazi
Serekali imemlipa mfanyalazi unataka na vifaa tiba ikulipie?
mkuu embu fikiria kidogo kila mtu ana bima ya afya ya sh laki tatu, alafu unakwenda hospitali unaambiwa panado hakuna, we utafanya nini?
Mradi wa mwendo kasi nauli ni kubwa kuliko daladala lakini upo ICU, Bima ya afya ni upigaji tu hakuna cha kuboresha huduma
Maswali yangu yalikuwa AyaMkuu hili jambo si binafsi. Kwamba ninayo bima afya hakunisimamishi kuona tunakoelekea siko kwenyewe.
Kwamba NHIF imefilisika? Nini kitazuia mfuko upi kutokufilisika?
Kwamba bei zinapangwa unilaratelly. Hii haikubaliki. Sisi kama wateja binafsi au kupitia bima tunayo haki ya kuzijua gharama halisi.
Tozo na kodi hulipi peke yako. Kwamba hospitali hizi Zina majengo, vifaa, wataalamu, madawa, mishahara nk vinavyotokana na kodi zetu, hapana!
Tusiibiane mchana mchana hivi.
Viko wapi vigezo vya bei hizi tujiridhishe?
Mfuko gani utasalimika kwenye wizi wa wazi huu?
Embu toa mfano mmoja wa huduma kama consultation, surgery, medicine, or any medical consumables
Ambazo umelinganisha na manunuzi ukagundua hazina uhalisia
Nililipa shs 30,000/= mapokezi tu, dawa kheri ukanunue nje ya hospitali na mgonjwa anaporuhusiwa ni balaa jingine wakati dawa zote ulinunua mwenyewe! Kwa kifupi kila unapoambiwa nenda chumba hiki au kile kuna kiingilio kama vibandaumiza.Cost sharing. Zinahitaji fedha kwa ajili ya kujiendesha bila kutegemea ruzuku kutoka mfuko mkuu wa Hazina. Ruzuku inabaki kama sehemu tu ya mapato ya hospitali.
Maswali yangu yalikuwa Aya
Toa mfano mmoja wa huduma kama consultation, surgery, medicine, or any medical consumables
Ambazo umelinganisha na manunuzi ukagundua hazina uhalisia
Amezoea kutibiwa Aga Khan hivyo hajui majina kwa kiswahili msamehe tu, siku akija Ilala au Mwananyamala atayajua kwa kiswahili.Majina ya kibeberu hayo hayatafsiriki kuwa pesa.
Wananchi wamewekeza kupitia tozo na pesa zao zikapatikana hospitali, vifaa, majengo, dawa, machela, wafanyakazi , mishahara nk.
Kama unachojaribu kusema ni kuwa sasa utakaamu ni Mali binafsi ni muda muafaka tugawane mbao za meza na misumari.
Sera mpya hii ya Bashe haikubaliki.
Tupeni Bei tuzijue ikibidi tufanye maamuzi magumu:
Ujuzi, vifaa, majengo, dawa, nk.
Tatizo liko wapi?
Bima ya Afya kwa wote ni UTAPELI wa CCM Kama UTAPELI mwingineKila mmoja wetu anatakiwa kuwa na bajeti ya matibabu. Na hapo ndipo inapokuja umuhimu wa Bima ya Afya kwa wote.
yaani hospitali afadhali kwa mganga wa kienyeji, hapo bado rushwa kwa manesi ya kuzungusha faili ,kumpa dawa mgonjwaNililipa shs 30,000/= mapokezi tu, dawa kheri ukanunue nje ya hospitali na mgonjwa anaporuhusiwa ni balaa jingine wakati dawa zote ulinunua mwenyewe! Kwa kifupi kila unapoambiwa nenda chumba hiki au kile kuna kiingilio kama vibandaumiza.
Kwa gharama hizi za hospitali za umma ni nafuu kutibiwa nje ya nchi kama una uwezo!
Ndiyo maana tunauliza:Tunajua kuwa amekaa hospitali kwa kipindi gani? Zimetumika gharama kiasi gani za ununuzi wa dawa na baadhi ya matibabu yamekwendaje? Yawezekana kwa kiasi hicho cha pesa angekwendq India ingekuwa zaidi ya milioni hamsini huko, lazima tulinganishe huduma na gharama za matibabu mana serikali ikiboresha huduma gharama nazo lazima ziongezeke hata kwa kiasi fulani
Gharama zipo za aina Mbili.Hayupo anayekataa cost sharing ila break down ya gharama ni vyema vikajulikana, nani anaweka bei na vigezo gani.
Vinginevyo hapa ni ujanja ujanja tu.