Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

kwa hiyo running cost za hospitali kubwa huwa juu mtu ukienda kupima mkojo? Ni kipi kinapandisha?

Nitachojua mbezi hawawezi kupewa pesa na serikali sawa na muhimbili au mwananyamala, hivyo hivyo hata running cost kwenye hospitali binafsi zinabadilika kutokana na ukubwa wa hospitali

Ndio maana nimetoa mfano kuanzia chini kabisa yaani mbezi health na hospitali ndogo za mtaani , huu mfano wangu unanafanana mpaka ukifika level za hospitali kubwa
Unafikiri running cost za dispensary ni sawa na hospitali?
 
Ndo maana nilisema mwenye hoja alete hizo bei kwa ulinganifu Gov vs private with same level consideration.

Mnaishia I can assure you.

Unaijua hata hiyo sputum cytology na bei za reagent zake au unawaza AFB?

Soma hiyo document:

Sputum cytology: USD 2,516x2300=??
5,786,00/=

Umelipa 80,000/= Unakuja kufungua uzi.
 
Matibabu ni gharama Huna pesa usitegemee kupata matibabu

Ova
 
Unafikiri running cost za dispensary ni sawa na hospitali?
ni tofauti mkuu ata ruzuku za serikali ni tofauti "the bigger the cow ,the bigger the rope" ndio mfumo ulivyo kwa hivyo gharama za hospitali kubwa zinakuwa compasate na ruzuku kubwa za serikali
 
Hapa serekali imeona ishu ilikuwa inakuja kwa wenye bima yani akija mwenye bima anakosa dawa anakuwa ashauziwa kwa Bei ya ruzuku huyo aliekuja bila bima Sasa ukitaka kuenjoy life sahivi chukuwa elfu 30,000/= nenda kwa mtendaji au zahanati ilio karibu na ww mwambie unahitaji CHF ilioboreshwa hapo hizo garama utazipunguza kwa 70% amini kwamba
 
Soma hiyo document:

Sputum cytology: USD 2,516x2300=??
5,786,00/=

Umelipa 80,000/= Unakuja kufungua uzi.

Tatizo kubwa ni kuwa matibabu imefanywa kuwa ni biashara kama nyingine.

Mbaya zaidi faida kubwa kubwa zumewekwa kuwa vipaumbele hata kwa hospitali za umma.

Imekuwa biashara isiyokuwa regulated kama biashara ya mihadarati tu.

Aibu kubwa kwa wenye dhamana wanaoachia hali kama hizi kuendelea kuwapo.
 
Tatizo kubwa ni kuwa matibabu imefanywa kuwa ni biashara kama nyingine.

Mbaya zaidi faida kubwa kubwa zumewekwa kuwa vipaumbele hata kwa hospitali za umma.

Imekuwa biashara isiyokuwa regulated kama biashara ya mihadarati tu.

Aibu kubwa kwa wenye dhamana wanaoachia hali kama hizi kuendelea kuwapo.
Ingia kwenye hiyo biashara. Anzisha kituo cha afya ngazi yoyote then weka bei zako na utaujua ukweli.

Kuna vitu hutaweza ku-control as long as unanunua toka nje na hutengenezi.
 
Ninakubaliana nawe. Hata bungeni panapo dharura mambo yote huahirishwa:

1. Hakuna anayeweza kulipa bei hizi
2. Hakuna mfuko wowote wa bima utanusurika kwa kulipa bei hizi.

Kwa hakika serikali imejipanga kukusanya pesa zote toka kwa wananchi tena kiujanja ujanja tu.

Hii haikubaliki.
Tunapoelekea, wananchi watakosa pesa za matibabu huku serikali ikiendelea kujisifu imeboresha huduma za afya, hii sijui itakuwa na maana gani kama maboresho ya huduma hizo, hayaendani na hali ya kipato cha wananchi wake, wasaidiwe vipi ili waweze kuzimudu.
 
Ingia kwenye hiyo biashara. Anzisha kituo cha afya ngazi yoyote then weka bei zako na utaujua ukweli.

Bei za vyakula: nendeni mkalime -- Bashe.

Bei mahospitalini: anzishehi hospitali -- wewe.

Kwanini nauli, petrol nk zinakuwa regulated?

Haituingii akilini. Kwani hospitali za umma ni binafsi kama chakula cha wakulima?

Tunahitaji bei hospitali kuwa regulated kwa kuanzia kujua gharama halisi.

Tutakapo hoji walioko madarakani mtashauri tuwafurushe watoke?
 
Huwezi kuandaa bidhaa/huduma ambayo wanaweza kununua wenye uwezo mkubwa wa kipesa tu na vile vile huwezi kuandaa huduma ambayo yule maskini hohehahe anaweza kununua. Gharama ya bidhaa ni kukutana katikati.
Kwa hiyo laki3.5 yaweza kuwa ni bei ya wastani kwa wenye kipato na masikini?
 
Bei za vyakula: nendeni mkalime -- Bashe.

Bei mahospitalini: anzishehi hospitali -- wewe.

Kwanini nauli, petrol nk zinakuwa regulated?

Haituingii akilini. Kwani hospitali za umma ni binafsi kama chakula cha wakulima?

Tunahitaji bei hospitali kuwa regulated kwa kuanzia kujua gharama halisi.

Tutakapo hoji walioko madarakani mtashauri tuwafurushe watoke?
Jiulize: ilifikia wapi ku-regulate ada za shule
 
Bei za vyakula: nendeni mkalime -- Bashe.

Bei mahospitalini: anzishehi hospitali -- wewe.

Kwanini nauli, petrol nk zinakuwa regulated?

Haituingii akilini. Kwani hospitali za umma ni binafsi kama chakula cha wakulima?

Tunahitaji bei hospitali kuwa regulated kwa kuanzia kujua gharama halisi.

Tutakapo hoji walioko madarakani mtashauri tuwafurushe watoke?
Two options:

1: ingia mfumo wa bima kuna mpaka 192,000/= kwa mwaka.

2: omba msamaha kama una-qualify

La sivyo, fanya kazi kwa bidii na upate ujira ujikimu.
 
Matibabu ni gharama Huna pesa usitegemee kupata matibabu

Ova

Kuhoji kupata bei halali si kuhitaji lolote bila pesa.

Dialysis ni 450,000/- @session Kwa mtu.

Unajua Kwa Nini siyo 1,000,000/-, 50,000/-, au 5,000/- kwa session kwa mtu?

Kwanini tusifahamishane kwenye hizo machela, umeme, maji, ujuzi, vifaa nk?
 
Two options:

1: ingia mfumo wa bima kuna mpaka 192,000/= kwa mwaka.

2: omba msamaha kama una-qualify

La sivyo, fanya kazi kwa bidii na upate ujira ujikimu.

Bima au suala la malipo au exemption linatoka wapi hapa?

Kwanini hamtaki gharama halisi kujulikana?

Au huu ni wizi kama mwingine na bima ni conduit tu?
 
Soma hiyo document:

Sputum cytology: USD 2,516x2300=??
5,786,00/=

Umelipa 80,000/= Unakuja kufungua uzi.
Acha kulisha watu matango pori kwa ku-quote rate za marekani ambazo ni nchi tofauti na yenye hali tofauti ya vipato, uchumi nk. Umeokota tu figure mtandaoni wala hujui hiyo test in entail vitu gani. Kama ni rate za mtandaoni kuna quote moja ambayo ni USD 15 for cytology test, hapo unasemaje!. Acha kudanganya watu, kwamba stains ndo zinafanya gharama iwe kubwa. Tuwekee hapa bei za hizo stains na reagents unazodai hazishikiki bei.......​
 
Kuhoji kupata bei halali si kuhitaji lolote bila pesa.

Dialysis ni 450,000/- @session Mtu.

Unajua Kwa Nini siyo 1,000,000/-, 50,000/-, au 5,000/- kwa session kwa mtu?

Kwanini tusifahamishane kwenye hizo machela, umeme, maji, ujuzi, vifaa nk?

Soma hiyo ya 2015. Ukimaliza uje
 
Back
Top Bottom