KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkuu kwa Hiyo ni sahihi kwa hizo gharama? pato la mwananchi kwa mwaka ni kiasi gani? je wananchi wanaweza Kumudu hizo Gharama?
Nashukuru kwa kuhoji

Serikali inalipia gharama za elimu nchini, ili kumwezesha kila mtu aweze kusoma. Ndio maana shule za serikali unalipa.elfu 20, lakini serikali inachangia sehemu kubwa

Vivyo hivyo kwa gharama za kujifungua. Ili kupunguza mzigo wa uzazi. Tanzania inelegant miongozo kibao ya mama wajawazito over the years ikiwa pamoja na kugharamia asilimia kubwa ya hizo gharama.

Nilivyosema kuwa states ni gharama kujifungua sikumaanisha nililinganisha na Tanzania. Nilimanisha ni moja ya nchi ambayo wanalipa 100% which was burden kwa wananchi wake. Alipokuja Obama akaleta Obama care kuwapunguzia wasioweza. Gharama ya kujifungua states ilikuwa ni kubwa zaidi kuliko anywhere else. Hii inatokana kuwa wamewekeza advanced services kwenye matibabu

Nchi nyingi duniani zina mipango tofauti, kuna nchi zina upungufu wa watu ikitegemea kwamba mama akinifingua mtoto anagharamiwa na serikali mpaka 5 years, hapo ndipo ataachuwa mzazi


Kama hujaelewa naweza kukuelewesh vizuri nikipata kifungua kinywa ndio kwanza naamka
 
Jina lenyew ushasema hospitali ya taifa
si tunaendaga tu vituo vya afya ni bure tuu kama akijifungua kawaida kama utatozwa hela haizidi
Upo sahihi mkuu
 
Nimekuelewa Mkuu
 
Jina lenyew ushasema hospitali ya taifa
si tunaendaga tu vituo vya afya ni bure tuu kama akijifungua kawaida kama utatozwa hela haizidi afu 50 tena kuwe kumetokea shida wakati wa kujifungua
walimhamishia Huko Mkuu. Kwani Hospitali ya Taifa sio sehemu ya Hospitali za Umma?
 
Umepigwa parefu sana hapo kujifungua hospital za serikali ni bure kabisa ,sio za serikali tu hata zenye ubia na serikali.Utalipia kitanda,au kama kuna upasuaji mkubwa au mdogo,pia kama kuna chakula
Aisee nilikuta watu wengi sanawanadaiwa kule na wameshindwa kutoka wameshikiliwa zaidi ya mwezi na hili ndio linaloumiza zaidi
 
yaani nilipe hospitali ya umma laki saba mke wangu kujifungua, kwa kipi? hata private hawapo hivyo.
Nchi hii mkuu imeshakuwa kama ni ya tabaka fulani hivi. na ukigoma kulipia ujue hawatamuachia. kuna watu wana miezi wapo kule tu hawawezi kutoka wala hawana uwezo wa kulipia
 
Kabisa, ukiwa na Bima haisumbui
 
hatukupenda kwenda Huko Mkuu sisi tulipewa Rufaa maana Kimara HC walisema hawana vifaa hivyo wakampeleka Huko.
 
Sera ya Afya ya 2007 inaelekeza kuwa Matibabu ya Mama Mjamzito na Watoto chini ya Miaka 5 ni bure.

Aidha Dkt. Mollel amesema kuwa anatambua kuwa zipo baadhi ya Hospitali za Umma zinazotoza wananchi fedha na kuzitaka kuacha mara moja huku Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya wakitakiwa kusimamia jambo hilo.

Dkt. Mollel hakusema kuwa hakuna Hospitali isiyotoza watu kwa ajili ya kupata huduma hiyo kama ilivyoandikwa hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…