Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Nashukuru kwa kuhojiMkuu kwa Hiyo ni sahihi kwa hizo gharama? pato la mwananchi kwa mwaka ni kiasi gani? je wananchi wanaweza Kumudu hizo Gharama?
Serikali inalipia gharama za elimu nchini, ili kumwezesha kila mtu aweze kusoma. Ndio maana shule za serikali unalipa.elfu 20, lakini serikali inachangia sehemu kubwa
Vivyo hivyo kwa gharama za kujifungua. Ili kupunguza mzigo wa uzazi. Tanzania inelegant miongozo kibao ya mama wajawazito over the years ikiwa pamoja na kugharamia asilimia kubwa ya hizo gharama.
Nilivyosema kuwa states ni gharama kujifungua sikumaanisha nililinganisha na Tanzania. Nilimanisha ni moja ya nchi ambayo wanalipa 100% which was burden kwa wananchi wake. Alipokuja Obama akaleta Obama care kuwapunguzia wasioweza. Gharama ya kujifungua states ilikuwa ni kubwa zaidi kuliko anywhere else. Hii inatokana kuwa wamewekeza advanced services kwenye matibabu
Nchi nyingi duniani zina mipango tofauti, kuna nchi zina upungufu wa watu ikitegemea kwamba mama akinifingua mtoto anagharamiwa na serikali mpaka 5 years, hapo ndipo ataachuwa mzazi
Kama hujaelewa naweza kukuelewesh vizuri nikipata kifungua kinywa ndio kwanza naamka