Gharama za treni mpya ya EMU kutoka Dar hadi Dodoma zilipaswa kuwa gharama za usafiri wa ndege

Gharama za treni mpya ya EMU kutoka Dar hadi Dodoma zilipaswa kuwa gharama za usafiri wa ndege

View attachment 3141118

Hii ndio Gharama ya Treni ya EMU Royal Class. Kama huna Ushahidi usizungumze hovyo.
Screenshot_20241102-065536_1.jpg


Hii pia ni gharama ya Treni ya Mchongoko (EMU) kwa daraja la kawaida (Economy).

Tuache kuzungumza yale ambayo hayapo katika uhalisia ilimradi kuikosoa tuu serikali.
 
R.I
Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.

Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.

Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.

Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.

Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
R.I.P Magufuli
 
Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.

Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.

Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.

Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.

Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Hivi si kuna madaraja ndugu??
Hiyo 100,000 na laki unusu ni madaja gani?? Economy ni 100,000??
 
Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.

Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.

Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.

Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.

Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Ukiwa na elimu na hupendi siasa, tarajia kuongozwa na mjinga anayependa siasa. Bila shaka tunaongozwa na wajinga wanaopenda siasa
 
Nauli ya hizo treni Dar-Dodoma haikupaswa kuwa zaidi ya 60,000
Kweli.kabisa ....kuhesabu laki kusafiri tu siyo pesa ndogo ....ukizingatia treni linatumia umeme wa bei nafuu wa bwawa la nyerere hiyo bei ni yanini ? Tatizo ni rais tuliye naye siyo mzalendo wala mtanganyika
 
Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.

Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.

Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.

Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.

Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Kwangu mimi nitawatetea km ifuatavyo:
Wazungu ni wajanja sana na hasa US/EU huku huwezi pata kitu Kwa bei ya mchina/Asia hivyo viongozi wa Africa wanakipa toka western countries na hapa ndio riba inakua msumari wa moto maana vitu vyao ni corporate price.
Pili huwezi rejesha loans Kwa nauli ya elfu 10/20/30 ya ndege maana hata operating cost ni kubwa mno.
Tatu hapa ndio wakaja na suala la treni badala ya ndege maana walikua hawatoboi ATCL kl mwaka ni hasara.
Ndege wazitumie Kwa route za nje ya nchi za jirani plus mikoa isio na treni,kingine kinachowagharimu ni kua na mikono mingi ya walaji ambacho ndio kinaua hata mwendokasi Kwa sasa
 
Wengi hatuelewi.
Treni ya SGR ya Mchongoko(EMU) Ina madaraja kama vile ilivyo SGR ya kawaida.

EMU kwa daraja la kawaida(Economy) Dar-Dom ni elfu 40 tuu hiyo laki moja sijui laki na nusu ni madaraja makubwa ya Royal ambayo kimsingi Wote mnasafiri ila Wao wa Royal wanamazingira tofauti na wale wa Daraja la Economy (maisha ndio yalivyo ma-gape yapo kila sehemu)

Treni ya kawaida Daraja la Economy ni Tsh Elfu 31 tuu (Dar-Dom).

Sasa unamaanisha Elfu 40 au elfu 31 sio affordable kwa Mtanzania?? (Unaijua nauli ya basi??))

Au unataka Kusiwepo na madaraja ndani ya treni?

Kumbuka treni ni hiyo hiyo na Muda wa kutoka na kufika ni ule ule ila kila Mtu atakaa kutokana na Uwezo wake wa pesa.
Gongelea Msumari
 
Hii inaonesha taswira halisi ya ukosefu wa weledi katika mipango na hili ndio tatizo kuu la nchi zinazoendelea, serikali badala ya kutoa huduma kwa wananchi wao wanawageuka kuwa wafanyabiashara,na wala hawaoni vibaya...Acha wapande wao na familia zao
Tanzania haiendelei imedumaa!
 
Gentleman, pendekezo zuri sana.

Tuwe wavumilivu kidogo kwa sasa, kwani ni mapema mno kuzungumzia chochote kuhusu hilo.

Hata hivyo mamlaka husika zimechukua pendekezo na oni hilo, na watafanya tathmini ya kina baadae na kuona linalowezekana,
ingawa kwasasa safari zitaendelea kama kawaida kwa gharama hizo hizo 🐒
TRC wafanye kazi waapunguze makelele media kikkik maneno mengiii gentleman

Ova
 
Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.

Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.

Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.

Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.

Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Nyumbu wa SACCOS subiri uone watakavyotoa mapovu
 
Back
Top Bottom