Gharama za treni mpya ya EMU kutoka Dar hadi Dodoma zilipaswa kuwa gharama za usafiri wa ndege

Gharama za treni mpya ya EMU kutoka Dar hadi Dodoma zilipaswa kuwa gharama za usafiri wa ndege

Angekuwepo mwasisi wake Hayati JPM, bei zisingekuwa hivyo.
Nafikiri hata atakayekuja 2025/2026 hatakubali hizi bei ziendelee maana atakuwa ameona maisha halisi ya wapiga kura mara baada ya kuzunguka nchi nzima.
Itoshe tu kusema, "vitu vya kurithi huwezi kuwa na uchungu navyo kama vile vitu vya kutafuta mwenyewe".
Bei za ATCL wakat wake muasis zilikuwaje?
 
Dar Dom ndege huwa zinajaa pamoja na ukubwa wa nauli...

Nadhani hata hiyo treni watakuwa wamerefer bei za ndege then wakapunguza kwa asilimia kadhaa around 60-50%

Ukiacha hilo, bila shaka gharama za kiuendeshaji maana hiyo mashine inatumia umeme sio wa bure, ina wafanyakazi lukuki kwa kila safari moja (tofauti n basi)...
Basi na ndege zote zinatumia Mafuta ambayo ni ghali ikiringanisha na umeme, matengenezo pia train ni kidogo kuringanisha na basi au ndege. Wafanyakazi wengi pia treni Ina mabehewa mengi hence idadi Kubwa ya wateja.

Lengo pia, kupunguza pressure kwenye mabasi na barabani Kwa ujumla.

Nzuri iwe reasonable bila kuathiri utendaji wa shirika mpka kupata msaada wahela kutoka serikali.

Pia wakumbuke wanamkopo wa muda mrefu wa matrilioni, kila faida inayopatikana ipunguze huu mkopo.
 
Angekuwepo mwasisi wake Hayati JPM, bei zisingekuwa hivyo.
Nafikiri hata atakayekuja 2025/2026 hatakubali hizi bei ziendelee maana atakuwa ameona maisha halisi ya wapiga kura mara baada ya kuzunguka nchi nzima.
Itoshe tu kusema, "vitu vya kurithi huwezi kuwa na uchungu navyo kama vile vitu vya kutafuta mwenyewe".
Ili baadaye TRC washindwe kujiendesha halafu muitukane serikali

You guys are very interesting

Bado tuna construction ya SGR na we need to collect cash ili tujenge reli nzima

Tuache kujitoa ufahamu
 
Tupunguze kukurupuka.

Naona kuna mchangiaji hapa kaweka Mambo hadharan kwamba bei sio moja .

Hata Tren ya TAZARA bei sio moja hata Treni ya kwenda Kigoma bei sio moja.

Kwenye tren ni Kama kwenye ndege
Kuna daraja la walala hoi na daraja la matajir .

Hata ukienda Lodge sio vyumba vyote bei ni moja , lodge yenye vyumba vya elfu 50 utakuta hata vya elfu 10 vipo.


Kwenye Boti za Azam kuna madaraka elfu 30 Dar - Zanzibar na kuna madaraja ni Zaid ya elfu 60.

Au unahis inawezekana wewe na Mo Dewj mkakaa pamoja kwenye behewa moja?
 
Kwa bei hiyo, Watanzania wengu, hatutafaidika.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ndio maana twasema kama kwako ndege ya Bombadier ndio ndoto, EMU haikamatiki, SGR nayo hupandi, basi nenda kapando ngo ngo ngo lile la mpaka mwisho wa reli.
Ikishindikana panda ungo.
Tusijaribu kuishi kwa vile tusivyoviweza kwa kujaribu kunya kama tembo.
Utapasuka msamba.
Hata mimi kwangu V8 ni ndoto.
 
Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.

Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.

Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.

Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.

Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Nakubaliana na wewe imetoka kuwa huduma imekuwa ni biashara, express wangeweza kuweka hata elf 50 tu inatosha
 
Kama kawaida kila kitu kizuri wanawaweka kauzibe ili wanufaike wao tu.
Walipokuwa wanapanga kwa upande wao hizo ni bei ndogo sana kwani wanashinda ulaya na marekani na wanalipa mamilioni kibao kwa ndege.

Unajua hii ndio shida ya viongozi wa kiafrika.
Hawataki masikini wanufaike na rasilimali za nchi yao
 
Us
Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.

Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.

Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.

Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.

Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Usisahau hii treni imenunuliwa na ccm Kule pesa ipo
 
Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.

Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.

Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.

Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.

Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Kama huna uwezo wa kulipia nauli hiyo panda ndege

Ulilazimishwa?

Dar kuna Kempinski 500,000 usiku mmoja na mitaani hiuko kuna vitanda vya 2.000 kwa usiku mmoja, ulilazimishwa ukalale Kempinski? Au ulishawahi kulalamikia hilo hata siku moja?

Punguwani wahed.
 
Kama huna uwezo wa kulipia nauli hiyo panda ndege

Ulilazimishwa?

Dar kuna Kempinski 500,000 usiku mmoja na mitaani hiuko kuna vitanda vya 2.000 kwa usiku mmoja, ulilazimishwa ukalale Kempinski? Au ulishawahi kulalamikia hilo hata siku moja?

Punguwani wahed.
Sasa wewe kwa akili zako hizo unafananisha Kempiski hiyo hoteli ya watu binafsi na treni ambayo ni usafiri wa Umma? Wewe kwa akili zako ukitaka kusafiri unatumia hoteli ya Kempiski? Kwani kulala Kempiski ni jambo muhimu kwa watanzania? Hivi wewe unashindwaje kuona kuwa bei za treni hizi zinapaswa kuwa nafuu kwa ili watanzania wengi waweze kumudu? Au unajifikiria wewe tu kwa kuwa huwezi kufikiri mbali zaidi ya pua yako?
 
Back
Top Bottom