Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawaida kila kitu kizuri wanawaweka kauzibe ili wanufaike wao tu.shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.
Unajifanya msemaji wa TRC.Gentleman, pendekezo zuri sana.
Tuwe wavumilivu kidogo kwa sasa, kwani ni mapema mno kuzungumzia chochote kuhusu hilo.
Hata hivyo mamlaka husika zimechukua pendekezo na oni hilo, na watafanya tathmini ya kina baadae na kuona linalowezekana,
ingawa kwasasa safari zitaendelea kama kawaida kwa gharama hizo hizo 🐒
Alishalaaniwa......kaua nauli 86k akaleta za kwake za wanyonge laki 360.Nikikumbuka Fast jet naumia sana kwakweli......Dar-Mbeya hadi elf 86 tulikuwa tunafika na kutamba fresh tu.....aliyeiua Fast jet nayeye atakuwa analaana
Kwa serikali na kwa kuwa ni treni tuliambia inaleta nafuu basi ingekuwa 15k hadi 25k ili wanyonge tuseme? Mitano tenaSasa unamaanisha Elfu 40 au elfu 31 sio affordable kwa Mtanzania?? (Unaijua nauli ya basi??))
Hoja zako ni dhaifu mno.Dar Dom ndege huwa zinajaa pamoja na ukubwa wa nauli...
Nadhani hata hiyo treni watakuwa wamerefer bei za ndege then wakapunguza kwa asilimia kadhaa around 60-50%
Ukiacha hilo, bila shaka gharama za kiuendeshaji maana hiyo mashine inatumia umeme sio wa bure, ina wafanyakazi lukuki kwa kila safari moja (tofauti n basi)...
Kwa hiyo kuna SGR na EMU?View attachment 3141118
Hii ndio Gharama ya Treni ya EMU Royal Class. Kama huna Ushahidi usizungumze hovyo.
Si mlisema yule jamaa analeta maendeleo ya vitu na si watuTreni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.
Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.
Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.
Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.
Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Sasa si unaona vitu vyenyewe vimekuwa na vululuvululu?Si mlisema yule jamaa analeta maendeleo ya vitu na si watu
Daah we acha tu.......saizi ni mwendo wa uso wa kima tu hadi MbeyaAlishalaaniwa......kaua nauli 86k akaleta za kwake za wanyonge laki 360.
😅😅
HahahaDaah we acha tu.......saizi ni mwendo wa uso wa kima tu hadi Mbeya
Very trueNauli ya hizo treni Dar-Dodoma haikupaswa kuwa zaidi ya 60,000
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Hebu ona walivyozua taharuki kumbe hawajaamgalia hata hivyo viwango. Mkuu usingeleta huu ushahidi hapa ningeondoka na matango pori.View attachment 3141120
Hii pia ni gharama ya Treni ya Mchongoko (EMU) kwa daraja la kawaida (Economy).
Tuache kuzungumza yale ambayo hayapo katika uhalisia ilimradi kuikosoa tuu serikali.
Ni kwa sababu wahusika wengi wanalipiwa na serikali na siyo kwamba ni wafanya biashara ni wale ambao hawana uchungu wa kusema nauli kubwa au ndogoDar Dom ndege huwa zinajaa pamoja na ukubwa wa nauli...
Nadhani hata hiyo treni watakuwa wamerefer bei za ndege then wakapunguza kwa asilimia kadhaa around 60-50%
Ukiacha hilo, bila shaka gharama za kiuendeshaji maana hiyo mashine inatumia umeme sio wa bure, ina wafanyakazi lukuki kwa kila safari moja (tofauti n basi)...
Hata kuviendesha mnashindwa. Mwenyewe angekuwepo angesimama na kutoa bei elekezi na ingekuwa imeisha. Kuwapa wahuni nagasi za decision making matokeo yake ndio hayoSasa si unaona vitu vyenyewe vimekuwa na vululuvululu?
Kwa bei hiyo, Watanzania wengu, hatutafaidika.Watanzania sijui tufanyiwe nini tuelewe.
Jaribu usafiri wa bure wa ungo.
Mzalendo wa kweli uko sahihiNauli ya hizo treni Dar-Dodoma haikupaswa kuwa zaidi ya 60,000