Gharama za treni mpya ya EMU kutoka Dar hadi Dodoma zilipaswa kuwa gharama za usafiri wa ndege

Gharama za treni mpya ya EMU kutoka Dar hadi Dodoma zilipaswa kuwa gharama za usafiri wa ndege

Wengi hatuelewi.
Treni ya SGR ya Mchongoko(EMU) Ina madaraja kama vile ilivyo SGR ya kawaida.

EMU kwa daraja la kawaida(Economy) Dar-Dom ni elfu 40 tuu hiyo laki moja sijui laki na nusu ni madaraja makubwa ya Royal ambayo kimsingi Wote mnasafiri ila Wao wa Royal wanamazingira tofauti na wale wa Daraja la Economy (maisha ndio yalivyo ma-gape yapo kila sehemu)

Treni ya kawaida Daraja la Economy ni Tsh Elfu 31 tuu (Dar-Dom).

Sasa unamaanisha Elfu 40 au elfu 31 sio affordable kwa Mtanzania?? (Unaijua nauli ya basi??))

Au unataka Kusiwepo na madaraja ndani ya treni?

Kumbuka treni ni hiyo hiyo na Muda wa kutoka na kufika ni ule ule ila kila Mtu atakaa kutokana na Uwezo wake wa pesa.
Umemaliza Utata, Hata Huo Utofauti Wa Madaraja Sio Kihiivyo, Nilipanda Royal Class, Dar to Dom & then Dom to Dar, Niliambulia tukorosho na na Kahawa Wakati Wa Kurudi ni Korosho na Na Bia ya Kopo, So Hata Hao Wanaopanda Economy Wasijisikie Vibaya! Nothing Special Kwenye Bussines na Royal Class za SGR, NIlitaka Kusahau, NILIPATA NA NAMBA YA MUHUDUMU 😀
 
Sasa wewe kwa akili zako hizo unafananisha Kempiski hiyo hoteli ya watu binafsi na treni ambayo ni usafiri wa Umma? Wewe kwa akili zako ukitaka kusafiri unatumia hoteli ya Kempiski? Kwani kulala Kempiski ni jambo muhimu kwa watanzania? Hivi wewe unashindwaje kuona kuwa bei za treni hizi zinapaswa kuwa nafuu kwa ili watanzania wengi waweze kumudu? Au unajifikiria wewe tu kwa kuwa huwezi kufikiri mbali zaidi ya pua yako?
Usafiri wa umma toka lini ukawa bure Tanzania? Hatujafikia huko, kama huna pesa, nauli ya train ipo mpaka ya 30,000.

Usiige tembo, utachanika msamba.
 
Sasa wewe kwa akili zako hizo unafananisha Kempiski hiyo hoteli ya watu binafsi na treni ambayo ni usafiri wa Umma? Wewe kwa akili zako ukitaka kusafiri unatumia hoteli ya Kempiski? Kwani kulala Kempiski ni jambo muhimu kwa watanzania? Hivi wewe unashindwaje kuona kuwa bei za treni hizi zinapaswa kuwa nafuu kwa ili watanzania wengi waweze kumudu? Au unajifikiria wewe tu kwa kuwa huwezi kufikiri mbali zaidi ya pua yako?
Usafiri wa umma toka lini ukawa bure Tanzania? Hatujafikia huko, kama huna pesa, nauli ya train ipo mpaka ya 30,000.

Usiige tembo, utachanika msamba.
 
KAZENI hapo hapo serikali.
Huwezi kupanda EMU kapande gari la mkaa.
Mamaeee.
 
Usafiri wa umma toka lini ukawa bure Tanzania? Hatujafikia huko, kama huna pesa, nauli ya train ipo mpaka ya 30,000.

Usiige tembo, utachanika msamba.
 

Attachments

  • IMG-20250208-WA0018.jpg
    IMG-20250208-WA0018.jpg
    92.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom