View attachment 3141118
Hii ndio Gharama ya Treni ya EMU Royal Class. Kama huna Ushahidi usizungumze hovyo.
Unataka kusemaje??Safari yako ni tarehe 06.nov?
R.I.P MagufuliTreni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.
Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.
Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.
Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.
Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Hivi si kuna madaraja ndugu??Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.
Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.
Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.
Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.
Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Ukiwa na elimu na hupendi siasa, tarajia kuongozwa na mjinga anayependa siasa. Bila shaka tunaongozwa na wajinga wanaopenda siasaTreni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.
Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.
Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.
Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.
Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Kweli.kabisa ....kuhesabu laki kusafiri tu siyo pesa ndogo ....ukizingatia treni linatumia umeme wa bei nafuu wa bwawa la nyerere hiyo bei ni yanini ? Tatizo ni rais tuliye naye siyo mzalendo wala mtanganyikaNauli ya hizo treni Dar-Dodoma haikupaswa kuwa zaidi ya 60,000
Kwangu mimi nitawatetea km ifuatavyo:Treni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.
Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.
Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.
Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.
Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.
Nakubaliana nawewe Mimi ningependekeza iwe 50k tu maana hizi ni Hela zetu Kodi zetu hizi.Nauli ya hizo treni Dar-Dodoma haikupaswa kuwa zaidi ya 60,000
Wewe kama sio tahira basi chonde chonde Angalia siku zinakuja utaanza kutembea uchi kama ulivyo uchi kwenye kichwa chako.Kapande Kimbinyiko la ndugai elfu 25.
Gongelea MsumariWengi hatuelewi.
Treni ya SGR ya Mchongoko(EMU) Ina madaraja kama vile ilivyo SGR ya kawaida.
EMU kwa daraja la kawaida(Economy) Dar-Dom ni elfu 40 tuu hiyo laki moja sijui laki na nusu ni madaraja makubwa ya Royal ambayo kimsingi Wote mnasafiri ila Wao wa Royal wanamazingira tofauti na wale wa Daraja la Economy (maisha ndio yalivyo ma-gape yapo kila sehemu)
Treni ya kawaida Daraja la Economy ni Tsh Elfu 31 tuu (Dar-Dom).
Sasa unamaanisha Elfu 40 au elfu 31 sio affordable kwa Mtanzania?? (Unaijua nauli ya basi??))
Au unataka Kusiwepo na madaraja ndani ya treni?
Kumbuka treni ni hiyo hiyo na Muda wa kutoka na kufika ni ule ule ila kila Mtu atakaa kutokana na Uwezo wake wa pesa.
Tanzania haiendelei imedumaa!Hii inaonesha taswira halisi ya ukosefu wa weledi katika mipango na hili ndio tatizo kuu la nchi zinazoendelea, serikali badala ya kutoa huduma kwa wananchi wao wanawageuka kuwa wafanyabiashara,na wala hawaoni vibaya...Acha wapande wao na familia zao
Bado ni kubwaView attachment 3141118
Hii ndio Gharama ya Treni ya EMU Royal Class. Kama huna Ushahidi usizungumze hovyo.
TRC wafanye kazi waapunguze makelele media kikkik maneno mengiii gentlemanGentleman, pendekezo zuri sana.
Tuwe wavumilivu kidogo kwa sasa, kwani ni mapema mno kuzungumzia chochote kuhusu hilo.
Hata hivyo mamlaka husika zimechukua pendekezo na oni hilo, na watafanya tathmini ya kina baadae na kuona linalowezekana,
ingawa kwasasa safari zitaendelea kama kawaida kwa gharama hizo hizo 🐒
Tunapochangia tuwe tunazingatia ukweli kuna daraja la 310000 tumia hilo. Afu nani kasema ndege 150000 hupatiHapa Sasa ni çhaguo lako upande ndege kwa 100000 hadi 150000 au upande train.
Nyumbu wa SACCOS subiri uone watakavyotoa mapovuTreni mpya ya SGR yenye mfumo wa Electrical Multiple Units (EMU) imeanza safari za Dar Moro Dodoma tangu tarehe 1 mwezi wa 11 2024.
Licha ya kuwa more comfortable zaidi ya zile za kawaida, treni za EMU zinafikia kasi ya juu kwa haraka zaidi.
Safari ya kwanza kutoka Dar kwenda Dodoma imechukua saa 3 tu ikilinganishwa na takribani saa 4 kwa SGR ya kawaida.
Yote haya ni mambo mazuri katika nyanja ya usafiri Tanzania na ni mambo ya kupongzwa. Ila angalizo moja hapa ni juu ya gharama kubwa za safari ya treni hizi. Inaonekana wazi kabisa usafiri huu mzuri haujakusudiwa kuwa wa kila mtanzania kwani watanzania wenye kipato cha chini hawataweza kumudu kulipa shilingi 100,000/- hadi 150,000/- kati ya Dar-Dodoma.
Kimsingi gharama hizi zilipaswa kuwa za ndege.