AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza wanaangalia matumizi yako ya miezi mitatu ya nyuma,kama wakiangalia ndani ya miezi 3 matumizi madogo wanakuhamisha
Juzi nimelipa 5,000/= units 36Hiyo yako ilikuwaje kwani wote wanaotumia tarrif 4, kwa 10, 000 huwa ni units 77 tu!!hili lako ni jipya
Ndio maana ni kwa watumiaji wadogo, sana sana, taa, radio, tv na feni.Mimi Nilichofanya , kwanza nilijibana kama mwezi mmoja, nikatumia units 40 nilisafiri kama mwezi hivi huku naendelea kununua, zikafika kama units 70, kwa sasa nina units kama 230!! Na kila mwezi nanunua units 77!! Kwa sasa natumia tu kwa raha zangu kama kawaida, kwani hawawezi nitoa tena, kwani nina akiba ya kutosha sana.Hapa utakuwa umezima fridge na hutumiii birika kuchemsha chai?..
Okay kumbe ndio maanaTupo makund tofaut
Hii ni bei ya kundi la watu wenye matumizi madogo sana ya umeme yasiyozidi unit 80 kwa mwezi.Hizo Unit mnazipate wenzetu mbona sisi elf5 tunapata Unit 14!!
Msaada tafadhali
Ni kweli usemalo. Na natamani TANESCO waje hapa watoe ufafanuzi. Sisi wengine hatufikishi units 75 kwa mwezi lakini tunaambulia units 28.10 kwa Tshs. 10,000 kila tununuapo umeme. Ukiuliza kwa nini unaambiwa uandike barua kwa Meneja kwa Tanesco wa eneo lako kubadilishiwa Tarriff!Sisi tusiokuwa na tarrif mnatuumiza roho tu jamani. Imagine sh. 10,000 tunapata units 28.2
Huo mfumo wa tariff ndo nini na nupataje jamani..?Sisi tusiokuwa na tarrif mnatuumiza roho tu jamani. Imagine sh. 10,000 tunapata units 28.2
Kutembelea 2.5 kwa siku ngumu mno, 'friji' pekee linalamba 1 kwa siku, 'taa za nje 4' za kawaida nazo zinalamba karibia 1 usiku kucha, jombaa hapo umebaki na nusu units.Hapa utakuwa umezima fridge na hutumiii birika kuchemsha chai?..
Maanake sasa inabidi uwe na matumizi ya unit 2.5 kwa siku ili ufikie lengo la hyo 75 unit per month! duuh!Kwa kawaida, kwa wale wa matumizi ya chini, hawaruhusiwi kununua umeme wa 10,000/= kwa mwezi. Yaani toka tarehe 1 mpaka mwisho wa mwezi. Ukifanya hivyo, mwezi unaofuata, hizo unit zilizozidi kwenye zile unit 75,utazilipia kwa ongezeko la bei kubwa. Kwa hiyo, ukinunua umeme tena, watakata kwanza hicho kiasi, na fedha itakayobaki, utapewa umeme.
Nakushauri kama hizo unit 75 zinakutosha, basi usizidishe. Kwani ukiendelea hivyo, watakutoa, na kukuunganisha kwenye zile bei za juu.
Na wakati matumizi ya kawaida tu ya kiwango cha chini kabisa yanafika unit 5ku tembelea 2.5 kwa siku ngumu mno, 'friji' pekee linalamba 1 kwa siku, 'taa za nje 4' za kawaida nazo zinalamba karibia 1 usiku kucha , jombaa hapo umebaki na nusu units,
Baada ya kuandika barua unatakiwa kufuatilia mwenyewe ofisi zao tanesco, mie nilisumbuana nao hiyo siku mpaka nikawaambia narudi tena kwa meneja ikishindikana hadi kwa meneja wa mkoa, wakazie sana bila hivyo hawatakubadilishiaNi kweli usemalo. Na natamani TANESCO waje hapa watoe ufafanuzi. Sisi wengine hatufikishi units 75 kwa mwezi lakini tunaambulia units 28.10 kwa Tshs. 10,000 kila tununuapo umeme. Ukiuliza kwa nini unaambiwa uandike barua kwa Meneja kwa Tanesco wa eneo lako kubadilishiwa Tarriff!
Binafsi nimefanya hivyo tangu mwaka jana lakini mpaka sasa sijabadilishiwa hiyo tarriff. Kwa nini wasibadilishe tarriff automatically bila urasimu na mlolongo huo mrefu hivyo maana mita zetu zinarekodi kamili wanaotumia chini ya units 75 na wa juu ya hapo!!?
Makundi ya umeme Tanesco wameyapanga kulingana na matumizi yako.....Mh... Haya mi hapo sisemi. Nalipa 10,000 unit 28.1
Ni 28.1KWHSisi tusiokuwa na tarrif mnatuumiza roho tu jamani. Imagine sh. 10,000 tunapata units 28.2