MC44
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 2,169
- 3,297
Kuna watu wanatumia hiyo miezi sitaHalafu hata hivyo tanesco waende na wakati kwa maisha ya sasa unit 75 ni chache sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanatumia hiyo miezi sitaHalafu hata hivyo tanesco waende na wakati kwa maisha ya sasa unit 75 ni chache sana
Yaani ni matesoNi 28.1KWH
Sio mama alisema tuwaungie umeme kwa 27,000 Tsh? ndio tunajilipa kidogo kidogoTANESCO kuna shida kabisa kwanza umeme unakatika katika hovyo sawa hiyo moja lakin nyingine naona ghafla gharama za umeme zimepanda kimya kimya maana kwa Tsh.10000/ tulipata unit 82 lakini sasa mwez huu Tsh.10000 unit unapata unit 72.
Hii ni hujuma au kuna nini huko TANESCO? Maana TANESCO ndiko kuna wizi mkubwa sana huko. Hii ni kwa wale wateja wa matumuz chini ya unit 75 tarif 0
Matumizi Ni chini ya Unit 75, ww unanunua unit 82, inakoendea wanakutoa kwenye iyo tarrif 4TANESCO kuna shida kabisa kwanza umeme unakatika katika hovyo sawa hiyo moja lakin nyingine naona ghafla gharama za umeme zimepanda kimya kimya maana kwa Tsh.10000/ tulipata unit 82 lakini sasa mwez huu Tsh.10000 unit unapata unit 72.
Hii ni hujuma au kuna nini huko TANESCO? Maana TANESCO ndiko kuna wizi mkubwa sana huko. Hii ni kwa wale wateja wa matumuz chini ya unit 75 tarif 0
hajielewi uyo, ngojea wamtoe kwenye iyo tarrif 4, nunua umeme wa elf tisa tu, mi ilikuwa ivyoivyo,mwisho wa siku nikarudishwa tarrif 1Kwa kawaida, kwa wale wa matumizi ya chini, hawaruhusiwi kununua umeme wa 10,000/= kwa mwezi. Yaani toka tarehe 1 mpaka mwisho wa mwezi. Ukifanya hivyo, mwezi unaofuata, hizo unit zilizozidi kwenye zile unit 75,utazilipia kwa ongezeko la bei kubwa. Kwa hiyo, ukinunua umeme tena, watakata kwanza hicho kiasi, na fedha itakayobaki, utapewa umeme.
Nakushauri kama hizo unit 75 zinakutosha, basi usizidishe. Kwani ukiendelea hivyo, watakutoa, na kukuunganisha kwenye zile bei za juu.
Mimi napata unit 28 kwa elf 10.TANESCO kuna shida kabisa kwanza umeme unakatika katika hovyo sawa hiyo moja lakin nyingine naona ghafla gharama za umeme zimepanda kimya kimya maana kwa Tsh.10000/ tulipata unit 82 lakini sasa mwez huu Tsh.10000 unit unapata unit 72.
Hii ni hujuma au kuna nini huko TANESCO? Maana TANESCO ndiko kuna wizi mkubwa sana huko. Hii ni kwa wale wateja wa matumuz chini ya unit 75 tarif 0
Itakuwa ni znzMko nchi gani nyie?
Au ni kikundi cha watu gani!?
Sisi elf 10 ni Unit 28
hio 70+ mnalalamika nini?.
Bado hamjapiga pasiku tembelea 2.5 kwa siku ngumu mno, 'friji' pekee linalamba 1 kwa siku, 'taa za nje 4' za kawaida nazo zinalamba karibia 1 usiku kucha , jombaa hapo umebaki na nusu units,
fridge kwa masaa 24 karibia units 3 mkuuku tembelea 2.5 kwa siku ngumu mno, 'friji' pekee linalamba 1 kwa siku, 'taa za nje 4' za kawaida nazo zinalamba karibia 1 usiku kucha , jombaa hapo umebaki na nusu units,
Chief shukuru MunguTANESCO kuna shida kabisa kwanza umeme unakatika katika hovyo sawa hiyo moja lakin nyingine naona ghafla gharama za umeme zimepanda kimya kimya maana kwa Tsh.10000/ tulipata unit 82 lakini sasa mwez huu Tsh.10000 unit unapata unit 72.
Hii ni hujuma au kuna nini huko TANESCO? Maana TANESCO ndiko kuna wizi mkubwa sana huko. Hii ni kwa wale wateja wa matumuz chini ya unit 75 tarif 0
bovu ilo bibiefridge kwa masaa 24 karibia units 3 mkuu
Wewe unanunuaga wapi, huku ukitoa 10000 unapata units 28 Tu!TANESCO kuna shida kabisa kwanza umeme unakatika katika hovyo sawa hiyo moja lakin nyingine naona ghafla gharama za umeme zimepanda kimya kimya maana kwa Tsh.10000/ tulipata unit 82 lakini sasa mwez huu Tsh.10000 unit unapata unit 72.
Hii ni hujuma au kuna nini huko TANESCO? Maana TANESCO ndiko kuna wizi mkubwa sana huko. Hii ni kwa wale wateja wa matumuz chini ya unit 75 tarif 0
Ndio maana ni kwa watumiaji wadogo, sana sana, taa, radio, tv na feni.Mimi Nilichofanya , kwanza nilijibana kama mwezi mmoja, nikatumia units 40 nilisafiri kama mwezi hivi huku naendelea kununua, zikafika kama units 70, kwa sasa nina units kama 230!!na kila mwezi nanunua units 77!!kwa sasa natumia tu kwa raha zangu kama kawaida, kwani hawawezi nitoa tena, kwani nina akiba ya kutosha sana.
Na mimi Natumia hiyo kijijini Mkuu ndio namshangaa huyu alikuwa anapataje hizo unitsIyo elfu 10 kwa tariff 4 ama 0 mbona haiendani na hela iyo,nijuavyo mie ni kuwa Taiff 4 mwisho wa kununua ni elfu 9 na unapata unit 75,sasa izo 82 unapataje mwenzangu.
fridge kwa masaa 24 karibia units 3 mkuuku tembelea 2.5 kwa siku ngumu mno, 'friji' pekee linalamba 1 kwa siku, 'taa za nje 4' za kawaida nazo zinalamba karibia 1 usiku kucha , jombaa hapo umebaki na nusu units,
njoo nikuuzie jamani, HISENSE Lina mwaka tubovu ilo bibie
kumbe, ilo la washua , mimi type zangu ni Boss, Aborder na takataka nyinginenjoo nikuuzie jamani, HISENSE Lina mwaka tu