Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?

Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?

Yeah kuingia na chupi inaweza isiwe tatizo ila kama show iko live naona kuna tatizo. Then kumbuka Afande Sele alishawahi kuvua nguo jukwaani na akabakiwa na boxer na kuna baadhi ya watu wanamlaumu mpaka leo na kusema kuwa huenda mjani ulimpanda kichwani.
Ungemalizia hii comment yako bila hata kuuhusisha mjani, hasa ukizingatia kuwa hata wewe huna uhakika. Kwanini usiseme labda alivimbewa sana ubwabwa?
 
Hiyo show ni ya wasafi media sio wcb.

Halafu hao wasanii wote huwa wanatumika pia na media nyingine tofauti na wasafi isipokuwa hao wasanii wa wasafi tu.

Kuhusu kuua vipaji hiyo ni real kuna media zinakuzima kabisa ila sio wasafi. Wao wana play nyimbo zote hadi medicre inapigwa pale.
Acha uchawa, sijawahi ona nyimbo za Harmonize Wasafi
 
WAMUAAAAAAAAACHEEEEEEE ILI TUIONE ILE MIKUNJO YA PAPA ILIVYONONA
 
IMG_20210102_214908.jpg
 
Nimezoea kuona umbea kutoka kwa pisi kama warumi n.k sasa huu umbea dah hata picha hamna dah ebu usiingilie fani za watu ww baki mpenz mcomment kama mm
 
Back
Top Bottom