Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?

Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?

Gigy Money katumika kama kafara tu kuna tatizo somewhere. Au TCRA ni Mapadre wote na hawajawahi kuona hata porn hivyo wana definition yao ya uchi.
I can see wote wanashabikia hii issue not because ya Gigy kufanya hivi ila ni kwa sababu zao binafsi na Wasafi.
Unafahamu ni kosa kisheria kutazama, au kusambaza picha za utupu/ngono!?

Ikitokea umekamatwa kwa kuvimba JF kuwa porn ni kitu cha kawaida, utasema kunashida mahali!? System inakuonea wivu 🙂 ?

Hizi sheria zipo na kanuni zake za adhabu... Wala sio matamko ya kisiasa.. tii sheria bila shuruti.. watanzania tumedekezana sana... Hiyo ndio shida kubwa.. kupindisha pindisha mambo kisiasa.
 
Tulia wewe, tumechelewa saaaaaaana.

Magufuli piga kaziiiii
 
Ni kweli kosa lilifanyika na wahusika walikiri kosa na kuomba radhi kwa mamlaka husika wakati show ikiendelea. Lakini je, mamlaka husika wamefanya impact assessment wakati wanatoa adhabu ya kuifungia Wasafi TV kwa miezi sita ?
 
hivi yule msanii ROSA LEE anaishi kenya vile.. 🙄
Ndg yangu..sheria haifanyi kazi hivyo unavyotaka wewe... Yaani ushikwe la wizi.. unapigwa mvua ..unageuka unaanza mbona mello huwa tunaiba nae hajashikwa na kufungwa!?? Huo sio utetezi...

Unajuaje huenda na huyo mwingine adhabu yake inaandaliwa!?
 
Ndg yangu..sheria haifanyi kazi hivyo unavyotaka wewe... Yaani ushikwe la wizi.. unapigwa mvua ..unageuka unaanza mbona mello huwa tunaiba nae hajashikwa na kufungwa!?? Huo sio utetezi...

Unajuaje huenda na huyo mwingine adhabu yake inaandaliwa!?
unazungumzia sheria au umereply tu tujibizane?
 
Halafu jitu jinga kama wewe unaangalia miziki ya kina niki minaj 'na mashow yao kina beyonce 'na yanaonyeshwa kwenye tv station za kibongo 'na unashangilia kwa furaha kabisa 'na havifunguwi akifanya mbongo mnapayuka tu

Mbona umetaja show za malaika wa bwana kabsa, sema show na videos za lady gaga
 
Nikiri kwamba mimi sikutazama live show ya Giggy Money iliyorushwa na Wasafi TV ambayo TCRA hawakuipenda.

Lakini kupitia platforms tofauti za social network nimeweza kuona picha ya Giggy akiwa kwenye vazi fulani hivi inayojadiliwa sana kwamba ndiyo alikuwa amevaa wakati wa show (picha ipo chini hapa).

Binafsi sijaona tatizo na vazi lile. Vazi limebuniwa vizuri linaonesha maungo ya Giggy vizuri kabisa. Shida iko wapi?

Mbona ndiyo hayo mavazi nayaona bichi, kwenye swimming events na maahindano ya mamiss. Bila kusahau huko kwenye mabaa, mitaani n.k. Sasa ninyi TCRA mnalinda maadili ya watazama TV tu?

Mko dunia gani nyie? Mnataka wasanii wavae madela na mashuka?

Halafu huu unafiki tutauacha lini watanzania? Hivi kweli tukipekuwa simu zenu ninyi mnaodai kukerwa na picha za Giggy hatutakuta picha za "pilau"?

Ninyi mnaojitia kukirihishwa na picha za Giggy ndiyo ninyi wenye nyumba ndogo na michepuko kama yote. Hayo ni maadili? Lkn mkisimama majukwaani mwajitia wasafi kama malaika.

Kama kweli tunataka kulinda maadili basi tuzuie uchafu kila idara, ofisi, sehemu za starehe, vyombo vya usafiri na kwingineko. Katika hili kuna kitu hakiko sawa.

Mkuu hupingwi ila ivi vitu viko kwenye sheria na wanachojaribu ni kuismamia. Ili asije mwingine kufanya ikaonekana wasafi walibebwa kasome EPOCA 2010 utaiyona sheria hiyo.
 
Mbona iko wazi wale ni wamarekani... Hatuwezi kuwapangia ya kwao.. ila hapa tutajipangia tu.
Uwezo huo upo mbona china waliweza kupiga marufuku vituo vyao vya television kuonesha nyimbo za lady gaga? Kwann sisi tusiweze?
 
Huyo Demu alichofanya ni utovu wa nidhamu, binafsi sijapenda.

Mbaya zaidi hakuna anachoimba Cha maana huyo ni Slay Queen na video Queen TU mziki kavamia.

Alianza mwenzake Anaitwa .....Rutty (Kama sikosei Jina lake), akaharibu Sasa kafuata yeye. Mbaya zaidi TV inafungiwa ambayo ni ofisi ya vijana wenzetu.

Kila career ina talanta ndani yake hata kama anayeifanya ni kipofu usiige.

Ni wakati wa BASATA kukaa chini kuweka vigezo kabla ya mtu kuwa msanii, maana Kuna wimbi kubwa kwa wasanii uchwara ambao wana effect kubwa kwa Jamii.

Mfano ikatokea baada ya adhabu kuisha ndani ya wiki moja kuna msanii uchwara mwingine anarudia kosa lilelile na media ikafungiwa. Tena hii itakuwa kuchezea maisha ya watu.
Mkuu hii imekuwa kama mbinu ya kutafuta kiki.. ndo maana wanarudia.
 
Uwezo huo upo mbona china waliweza kupiga marufuku vituo vyao vya television kuonesha nyimbo za lady gaga? Kwann sisi tusiweze?
Ingekuwa jambo jema.. ila.kwa kuanza hapa tu home pawe tofauti.. watoto waone kabisa kuna utofauti wa msanii wa kitanzania na huyo wa Gaga... Na ajue huko nje wanatembea uchi ..ila sisi twajisitiri... Italeta ukomavu wa kimaadili.
 
Ingekuwa jambo jema.. ila.kwa kuanza hapa tu home pawe tofauti.. watoto waone kabisa kuna utofauti wa msanii wa kitanzania na huyo wa Gaga... Na ajue huko nje wanatembea uchi ..ila sisi twajisitiri... Italeta ukomavu wa kimaadili.

Hio haina maana yeyote kimaadili, hapo nisawa na kukemea watoto wako kutukana matusi wakati huo huo unashangilia matusi ya nguoni yanayo tukanwa na watoto wa jirani yako mbele ya watoto wako
 
Hivi TCRA kabla hawajafungia kituo huwa wanatafakari Kwa kina madhara yake Kwa Uchumi Wa Jamii na nchi Kiujumla?

Binafsi pamoja na kutokuwa mdau wa Hizo Wasafi Media bado siamini kuwa hii tabia ya fungia fungia ina afya njema Kwa nchi kiujumla.
 
Hio haina maana yeyote kimaadili, hapo nisawa na kukemea watoto wako kutukana matusi wakati huo huo unashangilia matusi ya nguoni yanayo tukanwa na watoto wa jirani yako mbele ya watoto wako
You approach is impaired..
Duniani hatuwezi kuwa na namna moja ya kuishi.. and one should always be informed of how others live...ili wakikutana kusiwe na ile inaitwa culture shock..

Mimi Kidini sili kitimoto, lakini nilifunzwa tangu mtoto Kuwa wako wakristo wanaokula kitimoto... Hainioffend ninapokutana na wanaokula kitimoto, na huwa ninasema vizuri kabisa, very politely and respectful "I don't eat that"

Kama nisingefunzwa hilo ningeamini duniani people don't eat pork.. imagine my surprise nikionana na mazingira where people eat..

Wewe wa huko nje/jirani tukana as much as you want... Lakini weye under my roof...jaribu uone ntakavyo kupiga mswaki na steel wire. Ukikua ukaondoka nenda katukane tani yako...

Na sisi ukiona vyupi ndio fani yako ..inapaa unashuka kwa Trump ..unavaa vyupi ikibidi shuka uchi kabisa.. uone TCRA watafanya nn..

Huwezi sema hiki ni chema kama kibaya hakipo..
 
Back
Top Bottom