Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasafi huwa wanakusanya wachimbachumvi wa mji na kuwaita wasanii na kuwapa fame kipuuzi sana
Hiyo mileage inaweza compasate hasala wanayoipata? Wasafi ni brand kubwa kwa sasa na wana content za kutosha, hawawezi kutegemea kick.Chief!
Mileage! Mileage! mileage!
Hicho ndyo muhimu kwa sasa
Wakitoka hpo wanaenda kuangalia YouTube huyo kichaa kawapa mileage ngapi mtandaoni.
Nakumbuka aseeh alikuwaga mnene mbona kama kakonda au ndo mchina?Huyo mbona tokea yupo FNL EATV na Sam Misago kipindi hiko ana bonge la shepu ,alikuwa anavaa nguo za kihasara hasara.
Sijui ilikuwajeUle mshepu ulipotelea sijui
Shepu yake ile,wanao mjua wanakuambia tokea secondary alikuwa ana bonge la figa.Sijui katikati kilitokea nini paka kapungua.Nakumbuka aseeh alikuwaga mnene mbona kama kakonda au ndo mchina?
Mara hii mshafika huko kwenye ngoma.Mara nyingi mademu wenye ngoma huwa na hizi tabia. Hawana cha kupoteza.
NjaaShepu yake ile,wanao mjua wanakuambia tokea secondary alikuwa ana bonge la figa.Sijui katikati kilitokea nini paka kapungua.
😂Njaa
Ile kampeni hawakupiga bure, walilipwa! just imagine uko kwa sebure na wazee umekaa unaangalia tv mara Gigy na nguo zimechorwa Qhuma huyu hapa, hiyo fedheha iliyoje, pia hata team nzima ya Wasaf waajibike, mtu anatoka back stage na nguo za aina hivyo hakuna hata mmoja alimuona?Gigy hata angekuwa amevaa baibui ndio chanzo cha kufungiwa WCB miezi 6, mi ningefarijika tu.
Waliambiwa WCB msichanganye siasa na sanaa. Na huyo mnaempigia kampeni za urais 2020 hana fadhila wala hana rafiki. Ila zile kofia walizokua wanavalishwa zilikua zina wazuzua.
Acha WCB wapate malipo yao kwa kumpigia debe stone.