Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni ushambaHuyo Demu alichofanya ni utovu wa nidhamu binafsi sijapenda,
Mbaya zaidi hakuna anachoimba Cha maana huyo ni Slay Queen na video Queen TU mziki kavamia.
Alianza mwenzake Anaitwa ........Rutty (Kama sikosei Jina lake), akaharibu Sasa kafuata yeye. Mbaya zaidi T.V inafungiwa ambayo ni ofisi ya vijana wenzetu.
Kila carrier Ina talanta ndani yake hata Kama anayeifanya ni kipofu usiige.
Ni wakati wa BASATA kukaa chini kuweka vigezo kabla ya mtu kuwa msanii, maana Kuna wimbi kubwa kwa wasanii uchwara ambao Wana effect kubwa kwa Jamii.
Mfano ikatokea baada ya adhabu kuisha ndani ya wiki moja Kuna msanii uchwara mwingine anarudia kosa lilelile na media ikafungiwa Tena hii itakuwa kuchezea maisha ya watu.
Halafu jitu jinga kama wewe unaangalia miziki ya kina niki minaj 'na mashow yao kina beyonce 'na yanaonyeshwa kwenye tv station za kibongo 'na unashangilia kwa furaha kabisa 'na havifunguwi akifanya mbongo mnapayuka tuHuyo Demu alichofanya ni utovu wa nidhamu binafsi sijapenda,
Mbaya zaidi hakuna anachoimba Cha maana huyo ni Slay Queen na video Queen TU mziki kavamia.
Alianza mwenzake Anaitwa ........Rutty (Kama sikosei Jina lake), akaharibu Sasa kafuata yeye. Mbaya zaidi T.V inafungiwa ambayo ni ofisi ya vijana wenzetu.
Kila carrier Ina talanta ndani yake hata Kama anayeifanya ni kipofu usiige.
Ni wakati wa BASATA kukaa chini kuweka vigezo kabla ya mtu kuwa msanii, maana Kuna wimbi kubwa kwa wasanii uchwara ambao Wana effect kubwa kwa Jamii.
Mfano ikatokea baada ya adhabu kuisha ndani ya wiki moja Kuna msanii uchwara mwingine anarudia kosa lilelile na media ikafungiwa Tena hii itakuwa kuchezea maisha ya watu.
Lady Gaga, huyo hapo Cher.. 'na wapo wengi video zao zjnaonyeshwa ...labda niulize TUNARUHUSU HUO MNAOITA UTUPU UONYESHWE NA WASANII WA KIMATAIFA KWENYE TAIFA LETU ila wasanii wetu wavae madera vitenge 'na raba !!!??
Chukua suruali yoyote anayovaa dem wako kisha mpelekee mama ako, hapo ndio utajua si kila nguo inayovaliwa barabarani basi inatakiwa na mama ako avae. Uwe na adabuKesho pitia hapa Kurasini nikupe pesa umnunulie MAMAKO ile nguo ili tuone ujanja wa FAMILIA yenu.
Si mzuie 'na video za kimarekani kuonyeshwa mbona hamuzifungii na zinaonyeshwa tu 'na vituo hafingiwiKwa maadili yetu hakufanya Sawa kabisa huo utetezi wako mleta mada ni ujinga tuuu.
Ingefaa hiyo media ifutwe kabisa.
Si ndio hapo sasa, Hivi Nandy na Bilinenga nao walifungiwaga au?Si mzuie 'na video za kimarekani kuonyeshwa mbona hamuzifungii na zinaonyeshwa tu 'na vituo hafingiwi
Vipi kuhusu binti yako!? Yeye swadakta anavaa tu kitu ya gidy feza!?Chukua suruali yoyote anayovaa dem wako kisha mpelekee mama ako, hapo ndio utajua si kila nguo inayovaliwa barabarani basi inatakiwa na mama ako avae. Uwe na adabu
Mbona iko wazi wale ni wamarekani... Hatuwezi kuwapangia ya kwao.. ila hapa tutajipangia tu.Si mzuie 'na video za kimarekani kuonyeshwa mbona hamuzifungii na zinaonyeshwa tu 'na vituo hafingiwi