Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?

Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?

Nikiri kwamba mimi sikutazama live show ya Giggy Money iliyorushwa na Wasafi TV ambayo TCRA hawakuipenda.

Lakini kupitia platforms tofauti za social network nimeweza kuona picha ya Giggy akiwa kwenye vazi fulani hivi inayojadiliwa sana kwamba ndiyo alikuwa amevaa wakati wa show (picha ipo chini hapa).

Binafsi sijaona tatizo na vazi lile. Vazi limebuniwa vizuri linaonesha maungo ya Giggy vizuri kabisa. Shida iko wapi?

Mbona ndiyo hayo mavazi nayaona bichi, kwenye swimming events na maahindano ya mamiss. Bila kusahau huko kwenye mabaa, mitaani n.k. Sasa ninyi TCRA mnalinda maadili ya watazama TV tu?

Mko dunia gani nyie? Mnataka wasanii wavae madela na mashuka?

Halafu huu unafiki tutauacha lini watanzania? Hivi kweli tukipekuwa simu zenu ninyi mnaodai kukerwa na picha za Giggy hatutakuta picha za "pilau"?

Ninyi mnaojitia kukirihishwa na picha za Giggy ndiyo ninyi wenye nyumba ndogo na michepuko kama yote. Hayo ni maadili? Lkn mkisimama majukwaani mwajitia wasafi kama malaika.

Kama kweli tunataka kulinda maadili basi tuzuie uchafu kila idara, ofisi, sehemu za starehe, vyombo vya usafiri na kwingineko. Katika hili kuna kitu hakiko sawa.

Kuna mambo unachanganya!!sasa uvaaji wa kwenye sehemu za starehe nao uufananishe na matukio yanayorushwa live na tv, sehemu za starehe zina sheria zake ambazo umri chini ya miaka 18 hauruhusiwi kuwa eneo hilo!!eti kwa kuwa kwenye simu zao wana picha/video za aina ngono basi wasisimamie maadili???!!inshu sio kuvaa madela,lakini vazi hilo halikuwa sahihi sana , hapo labda ungezungumzia ukubwa wa adhabu tu, ningekuelewa lakini sio hizo hoja zako .
 
Gigy hata angekuwa amevaa baibui ndio chanzo cha kufungiwa WCB miezi 6, mi ningefarijika tu.

Waliambiwa WCB msichanganye siasa na sanaa. Na huyo mnaempigia kampeni za urais 2020 hana fadhila wala hana rafiki. Ila zile kofia walizokua wanavalishwa zilikua zina wazuzua.

Acha WCB wapate malipo yao kwa kumpigia debe stone.
Kwaiyo unamaanisha kiongozi atoe upendeleo kwa waliomchagua sababu tu walimpigia kampeni, hata kama wanakosea?
 
Mnajua maana ya live event?
Kama kwenye simu yangu kuna pilau
Ndo halali kuonesha chochote kwenye TV??
Simu zetu watoto wanatazama hizo pilau?
Kwahiyo hata video za Gwajima na amberuti zioneshwe wasafi TV?

Hiyo Event sikuifuatilia nisiwe muongo lakini kutokana video niliyoiona inaonesha hiyo Live event ilioneshwa Usiku ila sijui muda gani specific

secondly hiyo attire ya Gigy ni zile nguo zinazomatch rangi ya ngozi yake labda na hizo nakshi tu ndo zimeleta shida, Sijaona uchi kama Wa Nick minaj au coachella ya Beyonce ambayo wanafki wengi wa humu husifia kama maendeleo ya stage peformance.. kiufupi sijaona kama ni big issue ya kumatch hasara ya kuifungia media 6 months

Kingine nadhani badala ya kuwatupia lawama wasafi na kusheherekea ban yao. Hao TCRA wangeweka mifumo thabiti ya kuchuja maudhui na muda wa kurushwa maana kuna nyimbo watoto wenu wanazisikiliza saa saba mchana na zina impact kuliko hiyo "Imaginary nakedness" ya gigy
 
Yaani acha tu Mkuu nilishawahi hoji ,inakuwaje Radio za TZ muziki wao wa bongo fleva wanacheza Dirty Version(Ambazo tunaelewa matusi yote) lakini Miziki ya Nje ambayo hatuielewi hata wakiimba matusi wanacheza clean version.

-Utasikia nipe hogo ,unavyokata unagusa goroli ,mara miguu iguse mabega ,mara nakupa mikito heavy na ndio zinachezwa daily!! Ni muda muhafaka sasa wa TCRA wawaambie Radio wacheze clean version kama kuna matusi matusi au lugha zisizo na stara waedit(wafute ,wascratch,mute etc),BASATA inakuwaje wanaruhusu nyimbo zenye maudhui ya matusi kuchezwa? Kuna video ya harmonize wanaonyesha demu anatingisha chura na pia wanaonyesha jamaa anapaka mkongo yupo kitandani na demu,scenes kama zile inatakiwa wazifute.

Video za Mtoni wana dirty version na clean version ,kwenye clean vesrion hauwezi kuta wanaonyesha makalio ya demu hata kama kavaa suruali.

Hizi ndio points at least mtu unaweza kuongelea, Leo hii nyimbo nyingi zinaimba soft porns na humu zinashabikiwa kupita kiasi ila leo hao hao mashabiki wamegeuka watakatifu ghafla wa kusimamia maadili. Huu ni unafki
 
Chukua suruali yoyote anayovaa dem wako kisha mpelekee mama ako, hapo ndio utajua si kila nguo inayovaliwa barabarani basi inatakiwa na mama ako avae. Uwe na adabu
Ndo uache kutetea upumbavu. Kamvalishe mamako ile nguo kama unaona iko sawa kimaadili
 
hivi yule msanii ROSA LEE anaishi kenya vile.. 🙄

Wanaimba Matusi Tupu atleast East Africa Radio wanacheza Clean Versions tu za Bongo Fleva ukikuta wamecheza Dirty basi ujue hakuna DJ bali ni presenter tu.

Ukipata Muda nime attach versions mbili -Clean version ni ya EA Radio na Dirty Version ni Online(Nimeokoka Gnako)

"Nimeokoka siku hizi hatupigi ******* ,ingekuwa zamani ningepita na Zuchu,Huo usela **** " - Shetta (Clean)
""Nimeokoka siku hizi hatupigi mapuchu ,ingekuwa zamani ningepita na Zuchu,Huo usela mavi " - Shetta (Dirty)

 
HAWA BASATA HAWAJIELEWI NA SERIKALI PIA

Unafungia watu wakati mitandao ya ngono iko free nchini watu wanaangalia upuuzi,afu wanafungia Twitter

Unafungia wanasanii wa ndani wakati kuna video za nje zinaonyeshwa wakati zina watu wamevaa mavazi mbaya zaidi ya yale ya gigy na zinaruka hewani
 
Siyo kwamba akili ya kikahaba imetuvaa Sana watanzania ndo maana?. Kwann huo mchoro usiuone kama ramani ya Iran?
Mchoro unafanana na **** halafu nione ni kama ramani ya Iran, hapo nitakua naidanganya akili yangu.
 
kiuhalisia hiyo vazi ndio halina shida sana ila shida inakuja kwenye hizo bolded area kwenye matiti na hiyo hapo chini.kitendo cha hayo maeneo kukozwa kinafanya mtazamaji wa azingatie/aone kirahisi..
 
Lakini si tunawaangalia kupitia local channels !!?? Au hazipigwi kwenye vipindi !!?? Mbona havifungiwi!??
Kwani mkuu Muislamu safi akialikwa kwenye Sherehe ya kipaimara ndio unakuwa Uhalali wa yeye kushiriki mkuu wa meza!?

Wacha tuone ushetani wao, na sisi tuwaoneshe utofauti watoto wetu ..kubwa unaweza kuwa msanii unavaa vitenge na utatokelezea.. sio lazima uanike uchi ndio ung'ae..

Sasa wakiamua wanataka kujianika.. wanapanda tu kwa Trump... Mimi najiuliza mbona wsanii wa Malaysia hawakai uchi!? Je UAE!? Oman, Iran, Kuwait!? Kwanini na wao wasisaule kabisa....maana kuendelea wamendelea kuliko sisi mbali sana...

Nadhani kama tunaiga tuige vya maana, sio kuiga tuu hata ujinga... Msanii mwenye elimu na anaamini kwenye kipaji hawezi kutembea uchi... Ni insecure non artiste kama huyu dada enda up doing stupid things...

Yule mwenzake alijijua akaenda kupika.. sasa hivi heshima yake iko, sio.lazima avue jukwaani na kujidhalilisha na kuwadhalilisha wanawake ndio apate ugali. Ukiwa bora kwenye chako sio lazima uwe extra.

Na watoto wetu lazima waone..na shortcomings wazijue wakiamua kuacha njia unayowafunza nayo..basi hilo ni juu yao.
 
Mni Nadhani TCRA Kwa kushirikiana na BASATA wangeweka SARE/UNIFORM maalum kwa ajili ya Perfomance zote za majukwaani, Kama (POLICE au WANAFUNZI)
Nadhani hii itasaiidia kukomesha hii dhahma
 
Wewe ukiwa na Binti yako.. (would you be comfortable na uvaaji huu!?)

If not then hayo si maadili. Hiyo picha kwangu mimi sio tu mbaya ila yuko uchi kabisa... Na hiyo ni kwa watanzania asilimia 65+ tunaoishi vijijini...
Usisingizie kijijini hebu angalia ngoma zetu za asili za huko kijijini wanavyovaa ni vibaya zaidi ya hivyo. Hata hivyo nakubaliana na wewe kua lazima maadili yasimamiwe ila ukitoa adhabu lazima uwe na justification ambayo katika hii scenario ni ya kutafuta na tochi huku adhabu ikiwa kubwa sana.
 
Nikiri kwamba mimi sikutazama live show ya Giggy Money iliyorushwa na Wasafi TV ambayo TCRA hawakuipenda.

Lakini kupitia platforms tofauti za social network nimeweza kuona picha ya Giggy akiwa kwenye vazi fulani hivi inayojadiliwa sana kwamba ndiyo alikuwa amevaa wakati wa show (picha ipo chini hapa).

Binafsi sijaona tatizo na vazi lile. Vazi limebuniwa vizuri linaonesha maungo ya Giggy vizuri kabisa. Shida iko wapi?

Mbona ndiyo hayo mavazi nayaona bichi, kwenye swimming events na maahindano ya mamiss. Bila kusahau huko kwenye mabaa, mitaani n.k. Sasa ninyi TCRA mnalinda maadili ya watazama TV tu?

Mko dunia gani nyie? Mnataka wasanii wavae madela na mashuka?

Halafu huu unafiki tutauacha lini watanzania? Hivi kweli tukipekuwa simu zenu ninyi mnaodai kukerwa na picha za Giggy hatutakuta picha za "pilau"?

Ninyi mnaojitia kukirihishwa na picha za Giggy ndiyo ninyi wenye nyumba ndogo na michepuko kama yote. Hayo ni maadili? Lkn mkisimama majukwaani mwajitia wasafi kama malaika.

Kama kweli tunataka kulinda maadili basi tuzuie uchafu kila idara, ofisi, sehemu za starehe, vyombo vya usafiri na kwingineko. Katika hili kuna kitu hakiko sawa.

tena wamemkosea sana, kitumbua chenyewe kilisha expire kwa kugawa gawa hovyo anataka kulichafua taifa letu. TCRA ni bora mmfungie na huyo GIGGY kifungo cha maisha asifanye show yoyote.
 
Usisingizie kijijini hebu angalia ngoma zetu za asili za huko kijijini wanavyovaa ni vibaya zaidi ya hivyo. Hata hivyo nakubaliana na wewe kua lazima maadili yasimamiwe ila ukitoa adhabu lazima uwe na justification ambayo katika hii scenario ni ya kutafuta na tochi huku adhabu ikiwa kubwa sana.
Nashukuru at least tunakubaliana..

Changamoto ya sheria na kanuni ni swala kubwa kuliko TCRA wenyewe.. hivi vitu viko kwa sasa wanasimamia utekelezaji.

Kama sheria na kanuni haziko fair lazima turudi kwenye drawing board.. Hii mambo sio ya kujiamulia tuu..

Na shida yetu watz sheria zinapotungwa utasikia wekeni sheria kali ili tuwanyooshe wahalifu.. tukifika kwenye kutekeleza utasikia jamani ila sheria ni kali sana..as if wakati wa uandaaji Watu wanakuwa wamejifungia ndani..

Tumewapa sheria Hizi miaka karibu mitano sasa.. tuwaachie wazisimamie.. kama kuna umuhimu wa kupunguza adhabu kwa kosa la namna hivi basi tuandae utaratibu wa mapitio ya sheria na kanuni zake.
 
Nguo inaonyesha mifano ya utamu we unasema kuwa haina shida utamu nauona kabisa tena wameweka na vile vimavuzi we jamaa sijui unatetea nini hapa.
Kwa kweli hata mimi sifahamu nini kinatetewa. I think he needs glasses to think that he thinks there is nothing wrong is ridiculous to say the least.
 
Timu domo mnatokwa mapovu wakati mnaona kabisa gigy alikosea.

Mnapenda kukumbatia cheap whores waliojivika uanamuziki kisa hawana malipo makubwa kama wanamuziki wa kike wastaraabu
 
Nikiri kwamba mimi sikutazama live show ya Giggy Money iliyorushwa na Wasafi TV ambayo TCRA hawakuipenda.

Lakini kupitia platforms tofauti za social network nimeweza kuona picha ya Giggy akiwa kwenye vazi fulani hivi inayojadiliwa sana kwamba ndiyo alikuwa amevaa wakati wa show (picha ipo chini hapa).

Binafsi sijaona tatizo na vazi lile. Vazi limebuniwa vizuri linaonesha maungo ya Giggy vizuri kabisa. Shida iko wapi?

Mbona ndiyo hayo mavazi nayaona bichi, kwenye swimming events na maahindano ya mamiss. Bila kusahau huko kwenye mabaa, mitaani n.k. Sasa ninyi TCRA mnalinda maadili ya watazama TV tu?

Mko dunia gani nyie? Mnataka wasanii wavae madela na mashuka?

Halafu huu unafiki tutauacha lini watanzania? Hivi kweli tukipekuwa simu zenu ninyi mnaodai kukerwa na picha za Giggy hatutakuta picha za "pilau"?

Ninyi mnaojitia kukirihishwa na picha za Giggy ndiyo ninyi wenye nyumba ndogo na michepuko kama yote. Hayo ni maadili? Lkn mkisimama majukwaani mwajitia wasafi kama malaika.

Kama kweli tunataka kulinda maadili basi tuzuie uchafu kila idara, ofisi, sehemu za starehe, vyombo vya usafiri na kwingineko. Katika hili kuna kitu hakiko sawa.


Hii nguo haifai na Siyo sawa na nguo za Ma Bar etc, Hakuna mtu anavaa hivi mtaani au popote publically....
 
Back
Top Bottom