-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Ndo wale wale wanakwambia dollar imeshuka kwa sababu ya mama yaoChawa kila mahali yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wale wale wanakwambia dollar imeshuka kwa sababu ya mama yaoChawa kila mahali yani
Basi imeshuka sababu ya baba Yako 😂😂👇👇Ndo wale wale wanakwambia dollar imeshuka kwa sababu ya mama yao
Akisaidiwa na mama yakoBasi imeshuka sababu ya baba Yako 😂😂👇👇
Basi imeshuka sababu ya baba Yako 😂😂👇👇
View: https://x.com/BankOfTanzania/status/1867107522836041806?t=PbENdHy1Pkl4LtuANDkwTg&s=19
Mwisho Shilingi ikiporomoka itakuwa ni sababu ya mama 🤣🤣
Wewe akili unazo?Omba ukose vyote ila sio akili
Mama yangu wa Taifa ni Samia ndio anafanya kazi nzuri kama unavyoona.Akisaidiwa na mama yako
Maendeleo ni hatua na hatua zenyewe ndio hizo zinapigwaNchi ambayo hata viti vya kukalia walimu ni shida watu wanasema sera zake kiuchumi zinaendana na China?
View attachment 3175192
Hatua zipi mnapiga?Maendeleo ni hatua na hatua zenyewe ndio hizo zinapigwa
Mwenye macho haambiwi tazama 👇👇Hatua zipi mnapiga?
Kusema mama anaupiga mwingi ndio hatua?
Maana saa hizi kila mtu amejua njia ya kulinda kibarua chake hata kama anapwaya ni kumsifia Samia.
Mwenye macho haambiwi tazama 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DDpPRC2CF8K/?igsh=cXV3aWVvNXozZ2tt
Shida Iko wapi Sasa hapo?Kunguni wa mama hapa vipi.?View attachment 3178151
Unategemea Samia amalize shida za maji Kwa miaka 4 wakati nyie wengine mlikuwa mnakata mauno kwenye Sgr? Wacha ujinga.Shida ipo hapa huoni shida kunguni wa mama?View attachment 3178156
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.
Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.
Pia soma Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.
Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.👇👇
View attachment 3173770
View: https://x.com/GileadTeri/status/1866403360321978739?t=g3VX64W0GI9jcAz_8YL3jw&s=19
My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.
Tunampa maua yake angalia hai na anaona.👇👇
View: https://x.com/BloombergAfrica/status/1858863960876839093?t=OBCCMew3fCf4Z2qVnEEfbA&s=19
View: https://x.com/InvestTanzania/status/1863549112362082620?t=5ss50HD8dR-Psefx_RCBxw&s=19
Pia soma Dollar yaanza kushuka kwa kasi
Unategemea Samia amalize shida za maji Kwa miaka 4 wakati nyie wengine mlikuwa mnakata mauno kwenye Sgr? Wacha ujinga.
Hata hivyo kazi inaendelea 👇 👇
View: https://www.instagram.com/p/DDhwBIJM6aZ/?igsh=MWp0M2ZubDNhaTExZg==
Wewe upo Mkoa gani kwanza nikutajie miradi ya huko?Naona kama Jamaa Gilod Teri ni kama anasuka namba ivi, hio miradi tunayoaminishwa ipo na ni mpya , ipo wapi? Wameajiri nani? Maaana wakifanya intavyuu wanaonesha tu miradi ya zamani toka enzi za mkapa, sijui lakini hawa majamaa wanaongea kingereza kingi ni wa kuwaangalia kwa makini.. juzi zito kampiga swali ambalo kila mtu anajiuliza ila hajalijibu. Jamaa yuko smart ila hii nchi ngumu mno haina majibu mepesi mepesi 🤣majuzi tu mabalozi wote waliandika barua kwamba wawekezaji wao wanasumbuliwa na tra asa purpose ya tic ni nini
Jikite kwenye hojaHawezi kumaliza matatiso ya maji sababu karuhusu wizi "kula kwa urfu wa kamba".
Hakuna kazi inayoendelea sema wizi unaendelea.
View attachment 3178171