Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

Watu mnaochekelea ngoja siku watajwe ndugu zenu au mtajwe nyie kabisa. Dudu baya anazingua sana japo inaonekana kuna mtu yupo nyuma yake
Kama Oil chafu (kama anavyojiita) anatumika kuchafua watu akumbuke hao wanaomfadhili ni kwa muda tu ila mwishowe atasimama akiwa peke yake.
 
Mnafanya ushoga halafu mnataka huruma ya watu?konki konki konki master!
 
Toka lini shoga akaona haya?wale baada ya marinda kinaxhofuata kuondoka ni aibu zao mishopa ya haya hufa mara moja tena usijaribu ugomvi nao watakusumbua
 
Si aende mahakamani akafungue mashtaka dhidi ya dudu au atoe tamko LA kukanusha......kwani shida iko wap
 
Unajua sana kutazama aisee!
Atajinyonga kwa kutumia nini ndugu?
Lini na wapi?
 
Hivi OIL CHAFU ndo inatumika kuleta haya majanga???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Konki ana list nyingine tena, mjiandae.
Kashazibwa domo Oysterbay kituo cha polisi akae nayo tu.
 
Huwa wanapimwa vipi?

Hawaingizwi kitu huko kwenye makalio kweli?
Watu wa namna hiyo hawana vinyweleo huko nyuma, na pia huangalia uwepo wa sperm, hzo huwa zinaganda na kufanya muwasho ambao humfanya mtu ataman kufanywa daily....hii kitu ni hatar sana ukijarbu tu umeisha, na ni ngumu kuchomoka...mpak usafishwe kabisa kwa kutumia special facilities
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…