Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

Tetesi: God Forbid ! Sam Misago.anaweza kujiua!!!

Watu mnaochekelea ngoja siku watajwe ndugu zenu au mtajwe nyie kabisa. Dudu baya anazingua sana japo inaonekana kuna mtu yupo nyuma yake
Kama Oil chafu (kama anavyojiita) anatumika kuchafua watu akumbuke hao wanaomfadhili ni kwa muda tu ila mwishowe atasimama akiwa peke yake.
 
Watu wenye hekima na busara wanasema macho ni pazia ya nafsi. Unaweza kusoma yaliyomo ndani ya nafsi ya MTU kwa kutazama macho Yake.

Juzi.nimetazama FNL show and honestyly speaking Sam Misago anaonekana.hayupo sawa kabisa.

Hata hiyo show yenyewe alikuwa anaonekana anaifanya kwa kukibaraguza ( kulazimisha furaha )

He seems to posses a very troubled mind just like the Nazarenus when he was informed about the death.of Lazarus.

Watu wa karibu na Sam.Misago kaeni karibu na ndugu yenu mumfariji Kabla hajajidhuru.

Mzigo aliotupiwa ni mzito kama kabwe.

Ni wanaume wachache sana katika dunia hii wanaweza kubeba mzigo alio tupiwa Sam.Misago et al

Allah akufanyie wepesi mdogo wangu Sam Misago na akuepishie mbali na shari
Mnafanya ushoga halafu mnataka huruma ya watu?konki konki konki master!
 
Kama sio shoga,does not have to worry about anything!!the truth will come out!!ukisingiziwa kitu ambacho hujafanya,we Cheka tu,endelea na maisha yako,watu wata "read btn the lines'',watakuacha uendelee na maisha yako,ukionyesha kuchanganyikiwa sana,utawapa watu mashaka!!
Kuna saikolojia moja inasema,MTU mwovu,akiulizwa kitu tu,yeye huanza kulalamika kutoa ushahidi ambao hauusiani na swala linalozungumziwa
Toka lini shoga akaona haya?wale baada ya marinda kinaxhofuata kuondoka ni aibu zao mishopa ya haya hufa mara moja tena usijaribu ugomvi nao watakusumbua
 
Nimewasaidia kwa wale ambao hampo instagram kumbe konki ni konkiliwa mrs duuuuh
IMG_20181104_214635.jpg
IMG_20181104_214620.jpg
IMG_20181104_214620.jpg
IMG_20181104_214722.jpg
IMG_20181104_214600.jpg
IMG_20181104_214543.jpg
4139872e3f36e2b6c5a014133c0764e6.jpg
4e5ecfe63927d7b8a2c36285de88cbae.jpg
 
Unajua sana kutazama aisee!
Atajinyonga kwa kutumia nini ndugu?
Lini na wapi?
 
Hivi OIL CHAFU ndo inatumika kuleta haya majanga???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Konki ana list nyingine tena, mjiandae.
Kashazibwa domo Oysterbay kituo cha polisi akae nayo tu.
 
Huwa wanapimwa vipi?

Hawaingizwi kitu huko kwenye makalio kweli?
Watu wa namna hiyo hawana vinyweleo huko nyuma, na pia huangalia uwepo wa sperm, hzo huwa zinaganda na kufanya muwasho ambao humfanya mtu ataman kufanywa daily....hii kitu ni hatar sana ukijarbu tu umeisha, na ni ngumu kuchomoka...mpak usafishwe kabisa kwa kutumia special facilities
 
Back
Top Bottom