Sijakuambia Chrisette alikuwa upande wa Trump ninekuambia aliperform kwenye Trump inaguration na ndio carrier yake ilipoanza kufa na haikuchukua muda.Acha uongo wewe, Kanye West alikuwa upande wa Trump na hakuna dalili zozote za career yake kufa. Tokeni mpambanie haki zenu na sio kulialia upambanaji kutoka kwa mwanaume mmoja. Nyinyi mjifiche kwa fake IDs alafu mtegee diamond ajitokeze? Mdude yuko wapi?
Shule zinafungua lini?Haya endelea kubweka huku mitandaoni.
Ahsante Sana...Shida siyo kufanya kampeni Ccm.
Kipindi Naija watu wanauawa Diamond aliweka tweet kupinga yale mauaji. Aisee watu wamnanga sidhani kama huwa anatamani kuangalia ile tweet mara mbilimbili. Unajua ni kwanini?
Wasanii wa Bongo ni wanafiki sana. Matukio yakitokea Bongo wanakaa kimya. Wanalamba matako serikali. Yakitokea huko nje ndio wanajifanya kupiga kelele.
Pitia hiyo Tweet, kama ukishindwa kuelewa watu wanacholalamika sitakuwa na cha kukusaidia.
LEMA AKILI ZIMESHAHAMIA MATAKONI KWA SABABU YA KUOLEWA HIVI UMESHINDWA KUWATOA KINA HALIMA MDEE UNAVAMIA WANAUME ? HEBU HUDUMIA MMEO TU HAYA MENGINE WAACHIE WANAUME KAMA UNAWEZA KUPAMBANA MWACHE MUMEO HUKO RUDI TZ UPAMBANE NA WANAUME TUKUONEAliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Mh Godbless Lema ameandika katika mtandao wa Twitter kuwa wapo katika mchakato wa kuondoa kazi/videos za Diamond Platnumz katika mitandao ya YouTube na Facebook. Godbless Lema anadai Diamond amekuwa akijali "njaa" kuliko haki, hivyo kijana Hugo kutoka Tandale ni hatari zaidi ya gaidi.
Diamond ana "tabu" sana mwaka huu!
View attachment 1810929
Pia huwezi jua anaweza kuonekana kwa inje yupo ccm kumbe moyoni hayupo kabisa.Kuwa mwanaCcm haikufanyi ushindwe kupinga udhalimu. Hiki kitu naona wengi hamuelewi.
Ndio athari zake ataziona sasa hivi.Pia huwezi jua anaweza kuonekana kwa inje yupo ccm kumbe moyoni hayupo kabisa.
Hakuna mtu mwenye akili timamu ampigie diamond kura.hivi hawa hawajui kuwa Diamond is bigger than chadema. hivi diamond agombee urais na mbowe/lissu/lema nani atapata kura nyingi
Hao unaowaita 'low life niggers' ndio wengi.Hakuna mtu mwenye akili timamu ampigie diamond kura.
Ni low life niggers kama wewe ndo mnamuona role model wenu.
Naona unalazimisha kalio lako kutafuna muwa na sio kazi lililoumbiwa, endelea.Shule zinafungua lini?
Hiki ni kiingereza cha Kiha 🤣Some random bullshit that can only found in cdm.😠
Mbona wasanii karibia wote walimuunga mkono magu kwanini mnakomaa na diamond tu ndio maana watu wanahisi mna agenda yenu kwa huyo dogo tofauti na hiki mnachotuaminishaHana haki ya kujihusisha na dikteta. Issue siyo kuwa mwanaccm issue ni kuunga mkono utawala uliokuwa kandamizi Tanzania.
Chadema kwa siasa hizi,dola hamtoweza shika kamweKuwa mwanaCcm haikufanyi ushindwe kupinga udhalimu. Hiki kitu naona wengi hamuelewi.
Siyo kila mzungu anaongea Kiingereza. Tatizo la waha ni wafupi, akili ziko karibu na mav.i ndio maana ni brainless.Sawa mzungu pori😆