Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Watu wengine mmejaa ufala tuu, hata kuwajibu ni kama upuuzi tuuLini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
π
View attachment 2488095
Wewe mbona unadaiwa?Lema kuna jamaa namfahamu anamdai Lema million 48
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Na nchi ikapona kuondokewa na dikteta bila kumwagika damu hata tone mojaNabii Lema alitabiri kwamba Magufuli atakufa na akafa kweli , Unabii wake umetimia
Mjane wa dhalim mwendakuzimu unahangaika sana.Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
[emoji116]
View attachment 2488095
acha wivu, nawewe unaweza kuwa mkimbizi kwa tishio la kubakwaLini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
π
View attachment 2488095
Unajua mpaka Magufuri anafariki Mbowe alikuwa wapi na kwa nini?.Ila mimi najiuliza kwanini Mbowe nae maisha yake hayapo hatarini kiasi cha kukimbia nchi ili kujihifadhi kama wenzie?
Alitabiri atakufa akiwa madarakani na ikatokea kwa mara ya kwanza kwa nchi yetu katika miaka 60 ya uhuru.Duh! Ila kifo si kila mtu atakufa inajulikana hivyo sasa hapo kipi cha kuitwa utabiri? Labda angesema atakufa vp.
Acha ujinga wewe! Lema ni usalama wake!Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
[emoji116]
View attachment 2488095
Kila mtu atakufaNabii Lema alitabiri kwamba Magufuli atakufa na akafa kweli , Unabii wake umetimia
Wewe ndiye muongo au ulikuwa bado haujazaliwa, kuna watanzania wengi walikimbilia Mombasa Kenya baada ya uchaguzi mkuu ambao baada ya CCM kushindwa ikaamus kupora ushindi kama kawaida.Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
π
View attachment 2488095
Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
π
View attachment 2488095
Lema arudi na kulipa madeni yake hata nchi inadaiwa na inalipa taratibu , Lema arudi na alipe madeni nchi yetu haijawai kuwa na mkimbizi aina yake .Lini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
π
View attachment 2488095
Eti wazee walikaa wakasema hapana.Kwa muunganiko huu kuna kila dalili ya shakha kuwa kuna watu waliungana kuhakikisha wanamuondoa jiwe! Na muungano huu unashirikisha vyama vyote vya siasa na wafanyabiashara wakubwa ili kulinda madhambi yao.
Kweli Mkuu, yaani asikimbie Mbowe alafu akimbie uyu tapeli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila mimi najiuliza kwanini Mbowe nae maisha yake hayapo hatarini kiasi cha kukimbia nchi ili kujihifadhi kama wenzie?
Sasa utamfananisha Kambona na uyo tapeli kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ficha ujinga wako ww. .umepata kuisoma au kuisikia historia ya Oscar Kambona ??? ..nenda kaulize matanga wenzako
Kifo hakitabiriwi sababu kifo unakivaa siku unayozaliwa. Ndesamburo yuko wapi? Dada ake Lisu yuko wapi?Nabii Lema alitabiri kwamba Magufuli atakufa na akafa kweli , Unabii wake umetimia
Si kweli. Ni muda mrefu ulipita. Na kauli ile ilichochewa na chuki. Mbona alisema ndugai anakufa aage kabisa familia na ndugai anadunda huku akila mshahara wa ubunge na mshahara wa spika mstaafu ikiwemo marupurupu mengine.Huyu alitabiriwa kufa kwa kipindi fulani kifupi sana na ikawa .
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Mbona wewe uko hai?? Au Ulikuwa hujazaliwa????Ukweli mnaujua.
Awamu iliyopita ilikuwa ya WAUAJI.