Godbless Lema acha uongo na utapeli wa kisiasa. Taifa letu halijawahi kuwa na mkimbizi kama wewe. Ulikosa Ubunge ndio ukatafuta fursa

Wewe usipambane na mm, pambana na Mungu aliyetwaa
 
Hata Idd Amin hakuua raia wake wote lakini alikuwa muuaji tu kama Jiwe. Sukuma gang muwe mnatumia akili hata kama akili ndiyo hivyo tena
Uganda wanatambua Amin alikuwa kiongozi bora, na wote waliouawa walikuwa mamluki.
 
Godbless Lema hana sifa hata moja ya mkimbizi wa kisiasa!
Godbless Lema ni mwanasiasa uchwara aliyekimbia madeni!
Rudi nyumbani ukabili madeni yako bwashee!
Kuna na mafeni ni sifa moja wapo ya wanaume, sasa kama huna madeni wewe nahisi ni ke na kama ni me basi una homoni za ke nyingi, kachunguze Hospital hata pale Mloganzila il upewe tiba mapema kabla hali haijawa mbaya zaidi
 
Lema arudi na kulipa madeni yake hata nchi inadaiwa na inalipa taratibu , Lema arudi na alipe madeni nchi yetu haijawai kuwa na mkimbizi aina yake .
Sawa Mama, ila kwa wanaume kuwa na mdeni ni kawaida sana, shida nyie Wanawake mnaona mwanaume kuwa ba madeni ni kosa sana
 
Sawa Dada,
 
Deni alikopa kwa nani, dhamana ilikua nini, kama hajalipa shitaka limefunguliwa wapi au mali ipi imepigwamnada? Nijibu hili kwanza kabla sijaleta vipengere vinavyofuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…