Godbless Lema ahoji alipo Waziri Simbachawene

Nadhani anamuulizia kam wazir mwenye zamana kufatia zile vifo uwanja wa Uhuru sasa anataka kutafuta ili achukue atua isijitokeze Tena Hali hyo ddm
Na Lowassa waliokuwa wanamuulizia alikuwa waziri mwenye dhamana?
 
Hebu fafanua kidogo kwenye HPV pia iko kwenye kampeni sana.
HPV iko kwenye kampeni sana kwasababu ni suala ambalo linawaingizia pesa nyingi sana wenye viwanda vya madawa,pia ni moja njia wanayotumia kudhoofisha afya zetu kupitia chanjo wanazotoa,kwa kua moja ya lengo lao ni kudhoofisha afya zetu ili waweze kutimiza malengo yao ya baadaye kwa urahisi.

Uongo kuhusu uwepo wa HIV umezaa ARVs ambazo zinakuja kuzaa magonjwa mengi sana ikiwemo cancer ya kizazi kwa wanawake(ambapo sasa ndio HPV anasingiziwa kusababisha),kwa hiyo,HPV anapata BACKUP kutoka kwa ARVs kwa case hii(pia njia za kisasa za uzaziwa mpango na lifestyle mbovu kwa case nyingine).

NB:
Kuna NGOs kubwa zinazojishughulisha na masuala ya HIV/AIDS nchini,fuatilia utaona ndani yake wameweka kitengo cha cancer ya kizazi kwa wanawake,unafikiri hii ni coincidence?LA HASHA,ukiwauliza watakudanganya tu,lakini sababu halisi ni kwamba ARVs wanazotumia ndio husababisha hilo.
 
Sky Eclat na Mwizi Lema huyu hapa mliyemuua kwa corona- acheni uzushi
 

Attachments

  • 05CF66FF-E6CE-40EE-AB46-195DA89693D9.png
    247.3 KB · Views: 2
Hizi habari zinazagaa balaa mitaani kuwa bibi kafa, Mara mamvi afu watu hapana hata smart phone sielewi nani anawapa habari
 
Hakika huu ndio ukweli usiopingika
 
Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:

Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Anataka ajue alipo ehee? Mwambie asimwamshe aliyelala.
 
Sawa ila muache kuwa wazushi hasa wewe na mpuuzi Tundu Lissu bila kusahau Mwizi wa Magari Godbless Lema
Lissu hakuzusha kuwa alipigwa risasi 16 na Ofisi za Lema zilivamiwa kabla ya uchaguzi na yeye kutishiwa maisha.
 
Wasilalamike kuibiwa kura wao waache tu!!mi nilikua mpinzani haswaa but for now sipotezi mda tena na wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…