FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Na Lowassa waliokuwa wanamuulizia alikuwa waziri mwenye dhamana?Nadhani anamuulizia kam wazir mwenye zamana kufatia zile vifo uwanja wa Uhuru sasa anataka kutafuta ili achukue atua isijitokeze Tena Hali hyo ddm
HPV iko kwenye kampeni sana kwasababu ni suala ambalo linawaingizia pesa nyingi sana wenye viwanda vya madawa,pia ni moja njia wanayotumia kudhoofisha afya zetu kupitia chanjo wanazotoa,kwa kua moja ya lengo lao ni kudhoofisha afya zetu ili waweze kutimiza malengo yao ya baadaye kwa urahisi.Hebu fafanua kidogo kwenye HPV pia iko kwenye kampeni sana.
Baada ya mtoto wake kuzikwa! Simbachawene unamzika wewe lini?Msiba wa bibi mtautangaza lini?
Ni huzuni I kubwa kwa familia kupoteza watu wawili, mana na mtoto.Baada ya mtoto wake kuzikwa! Simbachawene unamzika wewe lini?
Sawa ila muache kuwa wazushi hasa wewe na mpuuzi Tundu Lissu bila kusahau Mwizi wa Magari Godbless LemaNi huzuni I kubwa kwa familia kupoteza watu wawili, mana na mtoto.
Hakika huu ndio ukweli usiopingikaTangu Lin Mwafrica akamzidi Mzungu ? Hyo ipo verified kabisa kwamba Africa ni underdog Kwa Wazungu , 🚶🚶🚶 ni vema tunapokabiliana na hawa watu tujue namna vyema ya Kula nao sahani moja maana ushindi kwetu ni minimal .......
Pote Tu Mwafrica alipoinuka kwenda direct against na hawa watu Mtu mweusi ndo aliishia kuumia ....
Wote akina Kijenkitile ngwale, Mkwawa , Martin Luther , Muamar Ghadafi, Mghabe na wanaharakat wote waliishia kuangukia Pua ......
Inahtaj smartness ya Hali ya juu kukabiliana na hawa watu......
Tutajidai kusema napigania Taifa huku hakuna tunachopata , mnaambulia Vifo na maisha magumu ...!!
JPM alikuwa na nia dhabiti na Taifa , Ila mikakati yake ilighubikwa na ukurupukaji mwingi, kukosa hekima na busara , uropokaji usio na tija , kukosa hekima ya kukabiliana na wanaokupinga na utumiaji wa nguvu wa wazi wazi ....na hiki ndo kimemwangusha ......
Anataka ajue alipo ehee? Mwambie asimwamshe aliyelala.Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Uzuri Corona ya bongo inawinda vigogo na watawala ngoja wapungue tupate ajira.Yule mrithi wa Nkunzizah hafanyi mzaha na covid kabisa
Lissu hakuzusha kuwa alipigwa risasi 16 na Ofisi za Lema zilivamiwa kabla ya uchaguzi na yeye kutishiwa maisha.Sawa ila muache kuwa wazushi hasa wewe na mpuuzi Tundu Lissu bila kusahau Mwizi wa Magari Godbless Lema
Duuuuh majanga gani hayaSio yeye huyo. according to kamanda lema. Wanasubiri msiba wa jpm uishe atangazwe nae kaenda...
Ajichanganye wajuba wale pilau na maji safi na salaamaYule mrithi wa Nkunzizah hafanyi mzaha na covid kabisa
Covid inanusa wenye ukwasi ndio inasepa naoUbaya wa corona hajui mnyonge au dikteta au wanaojitoa mhanga kumfurahisha dikteta.
Corona anafyeka tu, haulizi mtu!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na ARVs zao tutaziacha...waache waendelee kutuchokoza
Shikamoo!!Umenikumbusha mbali sana, nilisoma hiki kitabu 1984.
Just a matter of time. By James Hadley Chase
Wasilalamike kuibiwa kura wao waache tu!!mi nilikua mpinzani haswaa but for now sipotezi mda tena na wao!Kipindi hiki cha msimba kitawagharimu sana wapinzani maana Watanzania wanaona kila kinachoendelea, hata kama walikuwa na chuki zao binafsi na Magufuli huu si wakati sahihi wa kuzionesha. Tunapaswa kuungana pamoja kumsitiri mwenzetu then siasa zetu tutaendelea nazo baadae. Chadema mnachofanya sasa kitawagharimu sana 2025 na chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza.
Naungana na Mrisho Mpoto kumuaga Rais wa awamu ya Tano