Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataisha yeye na wapuuzi wenzake, kwani nani amekatazwa kuvaa barakoa?Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Hebu fafanua kidogo kwenye HPV pia iko kwenye kampeni sana.The termed 'covid19' kwanini umepewa air time kubwa sana wakati hauna tofauti YOYOTE kidalili na Influenza?
Na kwanini ulipuke majira sawa na influenza?
Covid19 upo chini ya mwamvuli wa Influenza kama HIV alivyo chini ya mwamvuli wa ARVs kama HPV anayesemwa kusababisha cancer ya kizazi kwa wanawake alivyo chini ya mwamvuli wa ARVs,njia za kisasa za uzazi uzazi wa mpango na bad lifestyle.
NI akili ndogo tu imetumika kudanganya umma.
Bora hata wampe babu mzindakayaNchimbi
Sio yeye huyo mkuu...
Hamjipendi wenyeweMabeberu Hawatupendi
Ndiyo Ukweli WenyeweHamjipendi wenyewe
Sio yeye huyo. according to kamanda lema. Wanasubiri msiba wa jpm uishe atangazwe nae kaenda...Simbachawene alikua uwanjani jana...Uwanja wa Uhuru
Corona haipo Tanzania, msitulishe matangopoli. Ila kitajulikana tu ipo siku. na mambo yote yatakuja kuwa hadharani. Cha kuweka kichwani ni kimoja, tu ni kwamba Magufuli ameiacha Tanzania ndani ya mioyo ya watanzania. Hapa, ndio pana kazi.Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Hatujipendekezi kwa jiwe, twajipendekeza kwa Mingu ,Ni suala la muda tu. Corona yupo kazini kwenye baraza la mawaziri wa hayati jiwe. Woga wao na kujikomba kipuuzi kwa jiwe sasa kutawapukutisha kwa Corona.
Kwaiyo lema amekua mshenga wa izraili mtoa roho?
Waebrania 10 : 38Hatujipendekezi kwa jiwe, twajipendekeza kwa Mingu ,
Maana imeandikwa , 'Mwenye Hali wangu ataishi kwa imani'
Labda, wamarekani hawana barakoa ndo maana wanapukutika Kama kuku wa kideri.Hv kuvaa barakoa ndio kuzuia corona?
Zimbabwe mawaziri wanakufa mbona wwnavaa barakoa
Inasemekana kilikuwa chakula cha bwana mkubwa.Ivi Jenister Mhagama ni nani kwenye huu msiba wakuu?
Kila kona yupo, kila location yupo anaonekana kuliko mawaziri wengine kwani yuko kamati ya mapokezi au vipi