Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha mbali sana, nilisoma hiki kitabu 1984.Wait. It is just a matter of time.
Kipindi hiki cha msimba kitawagharimu sana wapinzani maana Watanzania wanaona kila kinachoendelea, hata kama walikuwa na chuki zao binafsi na Magufuli huu si wakati sahihi wa kuzionesha. Tunapaswa kuungana pamoja kumsitiri mwenzetu then siasa zetu tutaendelea nazo baadae. Chadema mnachofanya sasa kitawagharimu sana 2025 na chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza.Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Serious!?Kondomu Kwa heri watuache na ukimwi wetu. Tusipangiane.
Kipindi hiki cha msimba kitawagharimu sana wapinzani maana Watanzania wanaona kila kinachoendelea, hata kama walikuwa na chuki zao binafsi na Magufuli huu si wakati sahihi wa kuzionesha. Tunapaswa kuungana pamoja kumsitiri mwenzetu then siasa zetu tutaendelea nazo baadae. Chadema mnachofanya sasa kitawagharimu sana 2025 na chaguzi nyingine ndogo zitakazojitokeza.
Naungana na Mrisho Mpoto kumuaga Rais wa awamu ya Tano
Hivi nayeye ni Mtanzania? Tuanzie hapo Kwanza.Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Mimi nataka iwatandike kisawasawa hawana adabu..Kwasababu hawasikii, mimi nasema wacha yawakute na tena iwatandike kwelikweli.
Tukumbuke juzi walikuwa kwenye cabinet wakiwa wamejiachia tu.
Achaneni na huyo mpuuzi. Mie pia nilimuona siku viongozi wanaaga mwili. Na picha hii ni ya leo...Mbona kama jamaa yupo hapa au macho yangu yanakichina china !!View attachment 1731686
Sio yeye huyo mkuu...Mbona kama jamaa yupo hapa au macho yangu yanakichina china !!View attachment 1731686
Hawa watu wanafurahisha, mahaba ni kitu kibaya sanaNdio mnavyopanua goli kua ilikua haijafika...
Wewe hujamuona simbachawene?Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Dodoma kuambukzwa ni rahisi sana maana wengi wanalala guest huku mablanketi huwa hayafuliwi kila siku hivyo kama kuna muta Kalala akiwa na virus basi ni rahisi kuacha wadudu na mwingine akija akilala basi anaweza kuambukizwa kirahisisimbachawene si ndio anatajwa kuwa the next VP?