Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 589
- 412
Ndo nani tena huyo? Na wewe kwa vijambo hujambo.Yule mrithi wa Nkunzizah hafanyi mzaha na covid kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nani tena huyo? Na wewe kwa vijambo hujambo.Yule mrithi wa Nkunzizah hafanyi mzaha na covid kabisa
Anavaa barakoa ina rare cases! Bujumbura watu wanavaa just like Dar.Yule mrithi wa Nkunzizah hafanyi mzaha na covid kabisa
Acha kudanganya watu mchana kweupe!The termed 'covid19' kwanini umepewa air time kubwa sana wakati hauna tofauti YOYOTE kidalili na Influenza?
Na kwanini ulipuke majira sawa na influenza?
Covid19 upo chini ya mwamvuli wa Influenza kama HIV alivyo chini ya mwamvuli wa ARVs kama HPV anayesemwa kusababisha cancer ya kizazi kwa wanawake alivyo chini ya mwamvuli wa ARVs,njia za kisasa za uzazi uzazi wa mpango na bad lifestyle.
NI akili ndogo tu imetumika kudanganya umma.
Hapana Mkuu, kuvaa barakoa ni kuzuia vumbi.Hv kuvaa barakoa ndio kuzuia corona?
Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Shangazi yangu na dada yake wamefariki Kwa Corona.Hii kitu haiwapi tabu wanawake
Kondomu Kwa heri watuache na ukimwi wetu. Tusipangiane.Na ARVs zao tutaziacha...waache waendelee kutuchokoza
Labda tupo kwenye top10 ya wafiwaIvi Jenister Mhagama ni nani kwenye huu msiba wakuu?
Kila kona yupo, kila location yupo anaonekana kuliko mawaziri wengine kwani yuko kamati ya mapokezi au vipi
Lisu alikuwa detailed, Lema sidhani kama ana credible source kama Lisu
Kwahiyo wewe unakaa kwenye keyboards na kutuma watu sio?Lete picha na ilikuwaje umuone wewe peke yako
Ukiweza kuangalia youtube, global tv wanna 7 hours coverage and simbachawene anaonekana kwenye msururu.wa mawaziri kwenye was ya 4na dk 3 akiwa nyuma without a maskLete picha na ilikuwaje umuone wewe peke yako
Nabii Godbless Lema, hahahaha!Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Wait. It is just a matter of time.Mara mkigoma, Mara mgogo, Mara mmtwara. Yupi Ni yupi.
We itakua ulimwona Chegeni wanachanganya sana waleJuzi nimemuona ktk viongozi wanaoaga mwili, ina maana jana tu lema keshammiss simbachawene...