Godbless Lema ahoji alipo Waziri Simbachawene

Godbless Lema ahoji alipo Waziri Simbachawene

Aisee hivi kwann wasimantain social distance na kuvaa Barakoa.
Yaan if it true ntashangaa sana! Honestly
... hili sasa limevuka mipaka; ni suala la usalama wa taifa! Taifa litakuwa hatarini tukipoteza viongozi wengi kwa mpigo sijui hawa jamaa wanaliona hilo. Ifike mahali isiwe hiari kuchukua hatua stahiki kwa viongozi. Kama tulikosea mahali wajisahihishe; ni ujinga ku-risk usalama wa nchi kumfurahisha fulani ambaye kwa sasa hayupo!
 
Kabisa lissu kwa issue za magu kweli alikuwa ana uhakika zaidi ya 100%....Source wake ni mkweli sana ,hata kukamatwa bombadier hakutulisha tango pori ,hata kabla ya kushambiliwa alilitaja gari ambalo lilikuwa linamfatilia kila anapoenda.

Namshauri lissu akiwa anawasiliana na source wake asitumie voice ya kawaida au namba yake ya simu...Maana system za "KUTREPU" simu bado zipo.(LIN).
Kama alikuwa anajua mbona alishindwa kujikwamua na ile mibunduki!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi nimemuona ktk viongozi wanaoaga mwili, ina maana jana tu lema keshammiss simbachawene...
 
Ivi Jenister Mhagama ni nani kwenye huu msiba wakuu?

Kila kona yupo, kila location yupo anaonekana kuliko mawaziri wengine kwani yuko kamati ya mapokezi au vipi
... Jenister ni waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu (Bunge). Hii issue kimsingi ni ya kwake; tukiweka ule mwongozo wa TLS pembeni kwa muda lakini kwamba mara baada ya Rais kuapa baraza la mawaziri lina vunjika.
 
Simbachawene nimemuona juzi siku ya kuaga viongozi alipita hapa kinyerezi akielekea Nyumbani kwake
 
Tangu Lin Mwafrica akamzidi Mzungu ? Hyo ipo verified kabisa kwamba Africa ni underdog Kwa Wazungu , 🚶🚶🚶 ni vema tunapokabiliana na hawa watu tujue namna vyema ya Kula nao sahani moja maana ushindi kwetu ni minimal .......

Pote Tu Mwafrica alipoinuka kwenda direct against na hawa watu Mtu mweusi ndo aliishia kuumia ....

Wote akina Kijenkitile ngwale, Mkwawa , Martin Luther , Muamar Ghadafi, Mghabe na wanaharakat wote waliishia kuangukia Pua ......

Inahtaj smartness ya Hali ya juu kukabiliana na hawa watu......

Tutajidai kusema napigania Taifa huku hakuna tunachopata , mnaambulia Vifo na maisha magumu ...!!

JPM alikuwa na nia dhabiti na Taifa , Ila mikakati yake ilighubikwa na ukurupukaji mwingi, kukosa hekima na busara , uropokaji usio na tija , kukosa hekima ya kukabiliana na wanaokupinga na utumiaji wa nguvu wa wazi wazi ....na hiki ndo kimemwangusha ......
Pia Yasir Arafat alipata kuwavimbia wazungu kwa kuwaambia "this is my home land no one can kick me out" na alisanda.
 
Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:

Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Halafu mpuuzi kama huyu unategemea aje kuwa kiongozi wa serikali, labda ya wahuni
 
Kwenye wabumge kumuaga jpm,
I think i just saw Simbachawene passing through the coffin to pay his last respect.... there was a little blidspot but i believe that was him...got a little block from the fainted lady...
 
Lema nimuhakikishie tu kwamba ataendelea kuandika nyuma ya keyboard akiwa huko huko Canada.
 
... huwa sielewi inakuwaje binadamu wenye akili, utashi, hisia, tena viongozi wasomi wanafikia level hiyo ya uelewa? Nadhani kuna nguvu ya ajabu behind sio bure!
Hata Hitler alitia hofu kubwa sana kwa wananchi wake
 
Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:

Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Akidi ya wanaotakiwa kumaliza mwendo labda bado haijatimia ndio maana wamewekewa moyo mgumu kama farao. Sio sahihi kumjaribu Muumba wako alafu mtuambie amependwa zaidi.
 
Back
Top Bottom