Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huyo Samia akae chonjo upupu umeshawatembelea.Yaani watakwisha
This time corona imekuja with a vengeance ya hali ya juu. Sema wengi wanachukulia poa, si serikali, si wananchi.
Hata huyo Samia akae chonjo upupu umeshawatembelea.
Kurusi Hana dini kama afande Chele.Ila Kirusi ana mahaba zaidi na wanaume.
Hata Jana alikuwepo na Kuna mda alitoa maelekezo ya namna ya watu kuingia na kutoka uwanjaniAlikuwepo juzi taifa
Kurusi Hana dini kama afande Chele.
Na ile imempaisha sana TL... Japo tulitarajia haya yatokee lakini TISS na PSU walitamani tubaki gizani tusijue kitu chochote!Lisu alikuwa detailed, Lema sidhani kama ana credible source kama Lisu
Badala ya kuhoji mama yake alipo yuko bize kuhoji wanaume wenzake walipo!!Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene ?Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona.Mtaisha mkifanya mzaha.
Tunatishana SanaKama akili zenu ndio hizi hamtaki kuamini kuwa covid is real.
Mtaisha wote hata huyo mama samia
Kabisa Lissu kwa issue za magu kweli alikuwa ana uhakika zaidi ya 100%. Source wake ni mkweli sana, hata kukamatwa bombadier hakutulisha tango pori ,hata kabla ya kushambiliwa alilitaja gari ambalo lilikuwa linamfatilia kila anapoenda.Lisu alikuwa detailed, Lema sidhani kama ana credible source kama Lisu
Mnajadili jambo msilolijua kabisa,nawaonea huruma sana,sijui ni lini waafrika(watanzania) wataanza kuutendea haki ubongo wao.Kwasababu hawasikii, mimi nasema wacha yawakute na tena iwatandike kwelikweli.
Tukumbuke juzi walikuwa kwenye cabinet bila barakoa.
Huamini? Social distancing, nawa na mikono pia inasadiaHv kuvaa barakoa ndio kuzuia corona?
AKsante,hii ni moja ya hadidu watu wanaweza kuitumia kuelekea kwenye ukweli wa suala hiliZimbabwe mawaziri wanakufa mbona wwnavaa barakoa