Kuna mmoja alikuwa na akili kama zako lakini leo hii tunamuagaKama kufa wote tutakufa anayehimiza kuvaa barakoa jf hata yeyeye mtaani anqdunda bila hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja alikuwa na akili kama zako lakini leo hii tunamuagaKama kufa wote tutakufa anayehimiza kuvaa barakoa jf hata yeyeye mtaani anqdunda bila hizo
Inapunguza kiwango cha kusambaa kwa kirusi pamoja na kutokaa karibu karibuHv kuvaa barakoa ndio kuzuia corona?
Mkuu! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Alikuwepo juzi taifa
Yap,na Mimi nilimuona kwenye runingaAlikuwepo juzi taifa
Kuna Ile mitaa ambavyo haina misongamano ila sokoni na mitaa iliyosheheni watu Mimi huwa navaa BarakoaKama kufa wote tutakufa anayehimiza kuvaa barakoa jf hata yeyeye mtaani anqdunda bila hizo
PSU cho chichi?Na ile imempaisha sana TL... Japo tulitarajia haya yatokee lakini TISS na PSU walitamani tubaki gizani tusijue kitu chochote!
Watu wahimizwe njia zote ikiwa kunawa mikono, social distance n.k coz naona uhimizaji umekuwa barakoa tu as if wakishavaa barakoa Mambo yameishaInapunguza kiwango cha kusambaa kwa kirusi pamoja na kutokaa karibu karibu
Watu waelumishwe vzuri coz nachoona mtaani watu wanadhani wakishavaa barakoa tayari ashakuwa salama. Kunaishu ya social distance, kunawa mikono na sanitizer vimepuuzwa sana afu tunajiaminisha kuvaa barakoa ndio solution. Nakubal barakoa ni miongoni sio kwa inamaliza tatzoUnauliza majibu..
President security unitPSU cho chichi?
PSU ndio nini?
Lete picha na ilikuwaje umuone wewe peke yakoAlikuwepo juzi taifa
Nasikia kuakuwa na tangazo tarehe 26 usiku au 27 asubuhi!Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Duh...!.Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Swali hili kaulize chumbani kwakoHv kuvaa barakoa ndio kuzuia corona?
Time will tellKaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
I smell something here, hii teeet siyo ya kupuuzaKaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.