getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,822
Wachumia tumbo! Yaani ufanye kampeni miezi miwili uwe mpinzani miaka 5 usiuwawe ila mara baada tu ya kupoteza ubunge eti uhai wako uko mashakani hawa wanatufanya wote wajinga.!
The same kwa Lissu umekaa hapa 2month ukifanya Campain, ukizunguka Nchi nzima uchaguzi umeshindwa eti ooh natishiwa maisha stupid.!
The same kwa Lissu umekaa hapa 2month ukifanya Campain, ukizunguka Nchi nzima uchaguzi umeshindwa eti ooh natishiwa maisha stupid.!
Stunt
Lema hakuuawa alipokuwa mbunge leo sio mbunge kabakiwa na suruali nani anataka kumuua?
Lema ni threat kwa nani??
Kama personal issue alikabili tu