Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Unaonaje ukisoma hii post yako leo
 
Natumai sasa umesadiki kuwa Kibri kina mwisho wake.
 
Vipi mdau una maoni Gani Leo baada ya kimbunga Jobo kupigwa na tufani?
MATAGA hamnaga future na hua mnaishia kufeli vibaya Sana Kwa aibu
Mpaka Sasa
LEMA 3 vs 0 MATAGA
😂😂😂😁
 
Vipi mdau una maoni Gani Leo baada ya kimbunga Jobo kupigwa na tufani?
MATAGA hamnaga future na hua mnaishia kufeli vibaya Sana Kwa aibu
Mpaka Sasa
LEMA 3 vs 0 MATAGA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Sasa unacheka cheka nini? Mbowe yupo wapi saizi unavyosoma huu ujumbe? Yupo jela, unajua ni kwanini? Karma ya kula posho za wenzie. Huyo ndugai yupo nje ya madaraka na mbowe yupo wapi? Hivi nyumbu mna nini lakini?
 
Mbona alishaanza na mwenyekiti Mbowe, hujui wapi alipo mwenyekiti wako? Mnajifanya kufurahi wakati mnaumia. Nilisema karma itaanza na mwenyekiti na kweli imeanza.
wewe mjane sisi wapinzani maumivu kwetu ni kawaida sana, tumeishi kwa maumivu since 1995, hivyo kumfunga mbowe tumeshajiandaa kisaikolojia kitambo mnoo yani hakuna machungu ambayo hatujapitia, tumeshazika sana ndugu zetu mliowauwa kwa kutumia policcm na wale mliowauwa nyie uvccm kwa mapanga yenu na marungu.

Yani kumtishia mwanachadema maumivu ni sawa na kujitia dole mwenyewe na kunusa.
 
ulivyomjibu kiuvivu mkuu Daudi kama ataiona hiyo ajue la gizani limempata
Tatizo mataahira kama haya hua hayaoni future Kwa kushabikia uovu mwishowe yanaumbuka hapa hapa
Mpaka Sasa
LEMA 3 vs 0 MATAGA
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

lema ametabiri tena ndugai atakufa[emoji1][emoji1]

kww sababu ana wafuasi mbuzi vilaza kama wewe hata akifa miaka 3 ijayo mtasema utabiri umetimia.

kwa post ya speaker mwaka mmoja ni mkubwa sana kutabiri jambo kuhusu cheo chake hatuwezi ita unabii,bali ni kuotea.

 
Umewahi hata kula kibao cha polisi? Eti mmezoea maumivu kwanini lisu na lema wakimbie? Hujui walikimbia nini huku? Si hua mnataka kuandamana jaribuni kuandamana ndio mtatuona sisi ni akina nani? Hakuna mpinzani aliyezoea maumivu, wote ni waoga na ndio maana mnafyata mikia. Na kwa uoga huo tutatawala nchi hii mpaka mwisho wa dunia, Na hukuna kitu mtafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…