kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Mungu wetu hadhihakiwi, ila Mungu wa CHADEMA anadhihakiwa. Yaani nyinyi mnaomba watu wafe, nasi tukiomba mfe mnalalamika. Kweli nyinyi ni nyumbuMUNGU HADHIKAKIWI YUKPO WAPI MEKO... ACHENI KIBURI
Jana niliona Nundu kichwani sijui alizimia na kuangukaIshuke adhabu chaap kwa haraka
Kama Mwendazake anavyoendelea na Kaburi lake.Aendelee na kiburi chake
Hata Yusufu muota ndoto alipuuzwa na nduguze hivi. Lema alimuonya mwendazake yakwamba hasipotubu na kugeuka atakufa angali akiwa katika nafasi ya urais.
Alipuuzwa akapelekwa mahakamani,Kilichotokea tunakijua.Basi Ndugai tengeneza mambo ya familiya yako uenda inabii huu ukatimia kwako.
Uyu nabii mvuta bangi inamana alivyo kua anawatapel watu alifikiria nin yeye akae uko uko uamishoni akil imuingie kichwan kua uongo sio Dil
Aliyakimbiza maisha yake dhidi ya watoa kafara au wasiojulikana.kama kweli mtesi wake alikuwa huyo angeesharudi.
ila yeye lema anajua usiyojua.
Aliyakimbiza maisha yake dhidi ya watoa kafara au wasiojulikana.
Anarudi mbona mtaweka wapi uso wenu.mwambieni arudi kama ana uhakika wadai wake wamesamehe madeni.
huyu ndugai ana kisasi naye sababu aliishawahi kumropokea kwamba anadaiwa milioni 600 na hana mpango wa kulipa.
HATAKUWEPO..!MANENO HUUMBA!! MUACHE HUYU MGOGO AFANYE DHARAU HALAFU SIKU MOJA ANASIKIA PAAAAAAAAA.....P IMETOKA!!!!
Alionywa mwendazake akapuuza , kilichotokea unakijua
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwa hili BWANA atalithibitisha maana BWANA ni BWANA wa haki. E BWANA nimeiongoja hukumu yako na Sheria yako.Mungu hafanyi kazi hivyo basi dunia binadamu wote wangeisha maana kila aliwazalo mwanadamu ni uovu
AminaHuu ni unabii umetolewa. Ni kama ule uliotolewa kwa Mwendazake. Mwenye masikio na asikie
BWANA ndiye Hakimu wa haki. Tumshtakie Nani Tena?ndipo akili za chadema zilipofikia hapa.
tukisema hamna upinzani bali genge la wahuni nchini mnang'aka.
anajivika jukumu la kuwa mshitaki mbele za Mungu ili!!!!
BWANA ndiye Hakimu wa haki. Tumshtakie Nani Tena?
Muabudu mungu wa lema na wwe? NyambafuMungu wa Lema anatenda tumeona