SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Udaktari wa kuja kuandika pumba humu bwege wewe.Usomeee Sanaa ya manini nini huko unidharau Mimi Niliyesomea Udaktari miaka 5 ?.
Utakua hujitambui ukiachilia mbali kua mbumbumbu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udaktari wa kuja kuandika pumba humu bwege wewe.Usomeee Sanaa ya manini nini huko unidharau Mimi Niliyesomea Udaktari miaka 5 ?.
Utakua hujitambui ukiachilia mbali kua mbumbumbu.
Msimamo upi keshalipiwa deni? Amtaje aliyemlipia ili tujue tabia yakeLema ana msimamo wa chuma.
Kimsingi Bashiru hakuwa na hela za kununua watu , alitegemea hela za walipa kodiHapo zililuwa zitumike kodi za watanzania. Magu alikuwa na matumizi mabovu sana ya fedha za umma .
Kila ubaya utalipwaHivi bashiru anajisikiaje kuchezea pesa walipa kodi namna ile ? Historia itawahukumu
Kuna tetesi kwamba Mwita Waitara alilipwa 800ml , yaani mtu kama Waitara awezaje kununuliwa mi 800 ?Mwita mwikwabe
Pauline gekuli
Morel
Mtuliya
Mtulia
Nasary
Wa simanjiro
Strengeti
Na madiwani weeengi
Mpaka uwe mpumbavu ndiyo utadai ushahidi.
Walogeni basi
Bwege ni wewe , ndio ukae ujipime, ujue unayejibizana naye amebeba IQ ya kiwango gani.Udaktari wa kuja kuandika pumba humu bwege wewe.
Bila kumsema Mwamba Magufuli au Dk. Bashiru hakuna kiki, halafu wapuuzi eti legacy imekwisha! Ahahahahaha! Mseme Chongolo uone kama kuna mtu atachangia! Ahahahahaha!!!Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.
Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
ShemejiMsimamo upi keshalipiwa deni? Amtaje aliyemlipia ili tujue tabia yake
Ilikuwa ni siasa za hovyo sana kisha unarudishiwa na ubunge wako. Cha kushangaza kwenye uchaguzi wa marudio kule ukonga ccm walinunua kadi za kupigia kura ili watu wasiende kupiga kuraKuna tetesi kwamba Mwita Waitara alilipwa 800ml , yaani mtu kama Waitara awezaje kununuliwa mi 800 ?
😂😂😂 Bashiru alitaka kumlipia deniWalogeni basi
Halafu ati ni mwalimu wa siasa chuo kikuu . Africa kuna vituko sanaKimsingi Bashiru hakuwa na hela za kununua watu , alitegemea hela za walipa kodi
Umesomea au ulikuwa unaweka makalio kwenye dawati?Very hopeless!Usomeee Sanaa ya manini nini huko unidharau Mimi Niliyesomea Udaktari miaka 5 ?.
Utakua hujitambui ukiachilia mbali kua mbumbumbu.
Nilijua tu ,mtakua wengi 🤣🤣🤣🤣Umesomea au ulikuwa unaweka makalio kwenye dawati?Very hopelless!
Mwenye akili njema huwa anasomeka tu.Wewe ni kilaza sana.Umesomeshwa na kijiji.Wameharibu hela.Nilijua tu ,mtakua wengi 🤣🤣🤣🤣
Mkuu akili njema ndio hizi za Akina Lema, Mbowe ?Mwenye akili njema huwa anasomeka tu.Wewe ni kilaza sana.Umesomeshwa na kijiji.Wameharibu hela.
Ulipochagua ndipo ulipo siku zote.Lipumbaff!Mkuu akili njema ndio hizi za Akina Lema, Mbowe ?
Mikiambiwa nichague Utahira na Akili za Akina Lema, Mbowe...
Nitachagua Utahira Asubuhi kweupe.