Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Tukio tutakalofanya ni kumuondoa kwa sanduku la kura ifikapo 2025. Sasa hivi tunawaelimisha Watanzania na wao wanaona jinsi nchi inavyoendeshwa kizembe.Kama imemshinda fanya tukio la kudhibotisha kauli yako vinginevyo Ni kujilisha upepo na kujifariji tuu.