Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na hao wajumbe wanafika kwenye huo mkutano na kurudi makwao kwa kupaa na ungo, wakifika huko wanalala barabarani na kula kwa kuokota majalalani.

Si ndio

Ukijiuliza nani anagharamia hiyo shughuli na kama ruzuku ya CDM inatosha kwa sasa, ndio utajua akili zako zilivyofinyu.

Unadhani hayo ni mambo ya ‘abracadabra’ tu yanatokea bila budgetary plannings
Unajua wewe una challenge jambo usilolijua,hoja ni CCM kutoa fedha kumfadhili Mbowe na kambi yake,jee Chadema chini ya Mbowe itakuwa tena chama au kigango tu cha CCM? Na si kweli kuwa chama hakina uwezo wa kuendesha mkutano mkuu lakini hela zimepigwa hapo HQ na watu wanajua ndiyo maana mpaka leo hawasemi hela za join the Chain ziko wapi. Watu siyo wajinga kama unavyowachora kwenye ubongo wako.
 
Dr slaa kazungumzia hilo suala Twitter la hela kuingia chadema. Tetesi toka Twitter zinasema kuna asali nono ya 12B imeingia kwa mtu fulani. 12B ni hela nyingi Lazima kiumane 🤣

Mwenye kutoa rushwa ndiye aliyelamba hiyo asali.

Uchaguzi huru, wa haki na kuaminika si maneno tu:



Kwani huu uliopita tulioambiwa je?
 
atasikilizwa na nani jamaa mwenyewe kachoka kiuchumi, kisiasa na kijamii namna ile gentleman 🐒

Vile ma CCM na timu mwamba mnavyoonekana mkisikia list ya wanaoitwa wahaini kuwa ndiyo tunaowataka, "Lissu, Heche, Lema, ..:

Gg82IK3bcAA-UBm.jpeg
 
Unajua wewe una challenge jambo usilolijua,hoja ni CCM kutoa fedha kumfadhili Mbowe na kambi yake,jee Chadema chini ya Mbowe itakuwa tena chama au kigango tu cha CCM? Na si kweli kuwa chama hakina uwezo wa kuendesha mkutano mkuu lakini hela zimepigwa hapo HQ na watu wanajua ndiyo maana mpaka leo hawasemi hela za join the Chain ziko wapi. Watu siyo wajinga kama unavyowachora kwenye ubongo wako.
Unasoma sana mitandao bila ya kuwa realistic.

Ruzuku ya CDM ni 107 million kwa mwezi.

Mishahara na administration costs hiyo hela inaweza endesha shughuli za chama nchi nzima?

Hadi iweze save kuendesha shughuli za uchaguzi mkuu, kulipa media, kuleta wajumbe, kukodi hall, kununua jezi na other operation costs za uchaguzi.

Shida yenu mnadhani ni mambo rahisi kama yalivyo kwenye vichwa vyenu.
 
Ndio akili za watu wanaomdai mapinduzi.

Amuwezi kuelezea operation challenges za chama zaidi ya matusi.

Wajumbe wa CDM kuwaachia mataahira kama nyie ndio kwenda kukiua chama chao.
Mkuu kumbuka wewe ndiyo umeanza kutukana kuwaita mataahira hivyo vumilia ujibiwe kwa uzito huo huo au wewe unayo kinga ya kuwatukana watu humu? Heshimu wengine nawe utaheshimiwa.
 
Unasoma sana mitandao bila ya kuwa realistic.

Ruzuku ya CDM ni 107 million kwa mwezi.

Mishahara na administration costs hiyo hela inaweza endesha shughuli za chama nchi nzima?

Hadi iweze save kuendesha shughuli za uchaguzi mkuu, kulipa media, kuleta wajumbe, kukodi hall, kununua jezi na other operation costs za uchaguzi.

Shida yenu mnadhani ni mambo rahisi kama yalivyo kwenye vichwa vyenu.
Hela ya join the Chain unajua iko wapi? Kuna madudu mengi yanaendelea wewe hujui ndiyo maana unawatukana wanaohoji na kuwaita mataahira. Au kwa vile uko ughaibuni unaona una uelewa wa kila kitu?
 
Unasoma sana mitandao bila ya kuwa realistic.

Ruzuku ya CDM ni 107 million kwa mwezi.

Mishahara na administration costs hiyo hela inaweza endesha shughuli za chama nchi nzima?

Hadi iweze save kuendesha shughuli za uchaguzi mkuu, kulipa media, kuleta wajumbe, kukodi hall, kununua jezi na other operation costs za uchaguzi.

Shida yenu mnadhani ni mambo rahisi kama yalivyo kwenye vichwa vyenu.

m CCM unapolia machozi ya mamba:

Gg6ESiDWwAA3GbM.jpeg
 
Hela ya join the Chain unajua iko wapi? Kuna madudu mengi yanaendelea wewe hujui ndiyo maana unawatukana wanaohoji na kuwaita mataahira. Au kwa vile uko ughaibuni unaona una uelewa wa kila kitu?

Mengine ma CCM hayo. Wao, mwamba na chawa wao wote dugu moja!
 
View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,

Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,

Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?

CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,

Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.

Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.

Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.

Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.

Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.

Godbless Lemma,
hata wewe tutakununua tukupeleke milembe, mmojawenu ananyea ndoo sasahivi, bado genge lingine
 
Hela ya join the Chain unajua iko wapi? Kuna madudu mengi yanaendelea wewe hujui ndiyo maana unawatukana wanaohoji na kuwaita mataahira. Au kwa vile uko ughaibuni unaona una uelewa wa kila kitu?
Haya sema hiyo ya join za chain, ilipo ufanye justification ya kupotea.

Gharama za uchaguzi wa CDM zimetoka kuanzia ngazi za shina mpaka majimbo zimetoka wapi?

Swala sio kuishi wapi (japo naweza kuwa vingunguti kwa sasa) hii mitandao tu; mtu anaweza kuwa popote.
 
Lema kuwaambia watu wale pesa, huko Si kuhalalisha RUSHWA?
 
Haya sema hiyo ya join za chain, ilipo ufanye justification ya kupotea.

Gharama za uchaguzi wa CDM zimetoka kuanzia ngazi za shina mpaka majimbo zimetoka wapi?

Swala sio kuishi wapi (japo naweza kuwa vingunguti kwa sasa) hii mitandao tu; mtu anaweza kuwa popote.
Ishu ni kuwa unatetea jambo usilolijua,sisi tupo humu ndani tunajua na tunaelewa kuwa kwa sasa Mbowe ni project ya CCM ndiyo maana maccm mnampigania sana mtu wenu. Ila atanyooshwa tarehe 21,hel zitaliwa na kura atanyimwa hadi sana tunajua hadi idadi ya kura zetu na kila atakayetupigia kura tunamjua. Pigeni kelele muwezavyo lakini chama kitabaki kuwa salama.
 
12B sio pesa ya kitoto 🤣
Kama ni kweli basi mimi ningetarajia Watanzania wote wenye akili timamu washituke sana kuwa hizo 12B ZIMETOKA WAPI? Hilo ndilo linatakiwa kuwa swali namba moja - kabla ya mengine yote!

Hakuna mtu mwenye kipato halali Tanzania cha kumuwezesha kugawa rushwa ya 12B. Hata kwa mafisadi sio rahisi kutoa kiasi hicho toka kwenye mapato yao. Hata taasisi zenye bajeti kubwa zikitoa kiasi hicho zitatetereka na hata kuweza kufa.

Kama kweli hela za namna hiyo zinatolewa kama hongo halafu watu wanahangaika na nani “KANUNULIKA” kwenye siasa badala ya huyo “MWIZI MKUU” Basi kweli hii ni nchi ya maiti zinazotembea.
 
Back
Top Bottom