Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sio AL bawaba sijui😀?Chui jike
Hii issue inaenda kuwa kubwa sana huko mbeleni unless wanaachana na huo mpango wao.Ndio huyu anayewatumia hawa Chawa akina Kitenge ?
Mzee MsogaHii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makatatasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Sasa kwa nini usimuulize Godbless Lema hikohuko space hapa ukaja na taarifa kamiliHii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makatatasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Huenda pia ni mwanamkeHii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Tatizo likwapi?Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Nyie wananchi mkiwa wapi? Mnewapa wanasiasa too freedom ya kufanya chochote mpaka wanadharau.Yaani wakitaka wakaushe hata bahari yote ya Hindi wajenge mahoteli Yao Ni sawa tu.Wao ndio wazalendo, wanyonge kaeni kwa kutulia tu.