Godbless Lema: Kuna mtu mkubwa anataka kujenga hoteli Ngorongoro

Godbless Lema: Kuna mtu mkubwa anataka kujenga hoteli Ngorongoro

Mwambie Lema aache uoga, yeye yuko Canada anaogopa kutaja jina, otherwise atakuwa mzushi.... Alipaswa kusema Mtu A anataka kujenga hoteli Ngorongoro na ushahidi huu hapa (very clear sio mapichapicha)
Yule mhuni tu,, naona zile siasa za matope , ooh lowasa fisadi sana, ghorofa za dar zote ni za ridhiwan,,, [emoji28]
Hizi siasa zinataka kurudi tena kwa kasi...
 
Although hujajibu swali umeniuliza swali .The difference is mm niko ready? But utaandamana mwenyewe? Utaingia msituni mwenyewe?
Kama hamna umoja hamna power, na wanasiasa wa nchi wameshajua. Divide them hawatokuwa na nguvu.

But narudi pale pale malalamiko mpaka ini?
Mpaka mwisho wa dunia mkuu.. [emoji23]
Marekani kwenyewe wanalalamika, UK wanslalamika , Canada maandamano kama yote
Russia china
Yaani hakuna siku utaridhisha kila mtu
 
Ina maana huyo mtu anajenga hotel katika maeneo yote yale ambayo Wamasai walikua wanaishi?

Tutumieni akili aisee
Nasikia hoteli itakua na upana wa mile 5kwa 5
 
Huyo mtu ni mimi. Msisumbuke na Lema. Ninataka kujenga kamjengo kadogo tu lakini mnaanza kukuza mambo. Acheni wivu!
 
Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.

Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.

Swali: Mtu huyu ni nani?
Vibaraka wa Kenya endeleeni tu kutumika

Ngorongoro lazima ilindwe kwa gharama yeyote ile. Kenya anafurahia kuongezeka shughuli za kibinadamu Ngorongoro wanyama kuongezeka kwao huku akizidi kulipa watu waondoke pembeni ya Masai Mara ili kuitanua ambao watu haohao wanakuja upande wa Ngorongoro

Mwambie tu Lema kuwa Wanyama kwa Ngorongoro lazima tusali dek wa sababu pale ndo nchi inapopata mapato makubwa sana kwa shughuli za utalii yanayohudumia nchi nzima
 
Kwani kuna shida mtu mkubwa serikalini akijenga Hoteli Ngorongoro...?
 
Kwani kuna shida mtu mkubwa serikalini akijenga Hoteli Ngorongoro...?

84AD0F06-A619-45CD-A1D0-0C0459BF96BA.jpeg
 
Mwambie Lema aache uoga, yeye yuko Canada anaogopa kutaja jina, otherwise atakuwa mzushi.... Alipaswa kusema Mtu A anataka kujenga hoteli Ngorongoro na ushahidi huu hapa (very clear sio mapichapicha)
Anavojua kuwachota hao Chadema sasa! Wanakurupuka tu kuja kuleta uzi hata hawawazi
 
Yaan mtu anatoa ujinga huko space anashusha JF.
Who is Lema in this country by the way??
Mara michango mara hili, kila uchao ni kudandia hoja, WAPUMBAVU.
 
Yaaani nyie pro-Chadema mnashikiwa aikili na Chadema kwani kujenga hoteli Ngorongoro ni makosa?
Mimi kama mdau wa utalii na uwindaji kwa miaka 30 sasa,naamini kujenga hoteli kwenye mbuga za wanyama (na conservation areas) si mbaya kama hakutaharibu tu "animal ecology" ya eneo husika.
Hivi mnajua Sopa Lodges karibu zote na Serena lodges zilijengwa kwenye njia za wanyama na kusababisha ikolojia ya wanyama kubadilika na kuleta athari!!!!??????
Loliondo tunanufaika nayo vipi baada ya kuwapa wawekezaji!!!!????
 
Yaan mtu anatoa ujinga huko space anashusha JF.
Who is Lema in this country by the way??
Mara michango mara hili, kila uchao ni kudandia hoja, WAPUMBAVU.
Wewe ndio mjinga kwa kusoma "unaouita" ujinga na kuuchangia ujinga huo. Hapo ni ujinga kipeo cha pili,hivyo wewe ni mjinga².
 
Wakiendelea kukaa apo baada ya miaka 50 hyo mbuga yote itakuwa ni kijiji cha wamasai, hakuta kuwa na mbuga tena, tatizo ni watu mnaongozwa kwa hisia na sio uhalisia
 
Swali zuri sana hili. Waafrika hatuwazi maisha ya miaka 1000 ijayotuna waza maisha ya leo. Wenzetu wanawaza tytaokowaje human spicies ikitokea dunia kuangamia, ikiwezekana wachache tuwapeleke Mars sie tuna pinga tafitizauwezekano wa Ngorongoro kuwa over populated. Na tunajiita wasomi.
Ina maana huyo mtu anajenga hotel katika maeneo yote yale ambayo Wamasai walikua wanaishi?

Tutumieni akili
 
Back
Top Bottom