Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Although hujajibu swali umeniuliza swali. The difference is mm niko ready? But utaandamana mwenyewe? Utaingia msituni mwenyewe?[emoji1][emoji1] wewe Kama mwananchi umechukua hatua gani?umeingia msituni,umeandamana au na we umeishia kupiga kelele huku JF?
Kama hamna umoja hamna power, na wanasiasa wa nchi wameshajua. Divide them hawatokuwa na nguvu.
But narudi pale pale malalamiko mpaka ini?