mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,904
- 8,371
Anasema hoteli ijengwe, kesi ya ngedele unampelekea tumbili unategemea matokeo yatakuwaje?Kwani naibu waziri wa ardhi anasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema hoteli ijengwe, kesi ya ngedele unampelekea tumbili unategemea matokeo yatakuwaje?Kwani naibu waziri wa ardhi anasemaje?
Naanza kuunganisha dot, Sasa walao naona kw nn William alitolewa hapo huenda kabisaaa lema nikakubaliana nae kwa x1[emoji102]Kuna mtu mkubwa anataka kujenga hoteli Ngorongoro, Ndio sababu Mh. William Lukuvi alipigwa chini mapema wakachomeka hapo mtoto wa JK
Confrict of interest,[emoji1][emoji1]Jibu hoja ,sheria imezuia mtu mkubwa au mdogo kujenga hotel huko Ngorongoro? Au ni ujinga na wivu unawasumbua?
Kwa hiyo kuna tatizo gani?Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspace muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Uhuru alionao mpaka unamwagikanaona unaenjoy demokrasia na uhuru mpaka umevimbiwa...
Kijana Hana adabu kalewa uhuru uliopitilizaTaratibu kijana! Tujenge hoja zaidi ya hasira na chuki.
Tuwakosoe kwa staha viongozi wetu...
Chui jike ana njaa Sana, huku akisema analeta wawekezaji, kumbe ni Kwa ajili ya upigaji🤣🤣💰Ndio huyu anayewatumia hawa Chawa akina Kitenge ?
Ss nime elewa Kwa NN mama kampa unaibu Waziri kikwete jr , ni Kwa ajili yakuja kupora ardhi yetu Kwa kisingizieo cha uwekezajiRiziwani Kikwete, Naibu Waziri wa ardhi Nyumba na makazi
Nonsensekwani umekatazwa kujenga.. tunapinga wananchi kufurushwa kwenye ardhi yao na kuleta hao mabazazi wenu
Nina ndoto kuwa kuna siku wafugaji na wakulima watakuwa chachu ya mabadiliko Tanzania ni suala la muda tu!Chui jike