Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wale wenye kinga za kutoshitakiwaHii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Tatizo liko kwenye kuwafurumusha masai nje ili wateke eneo.Tatizo likwapi?
Kwan hawalipwi?Tatizo liko kwenye kuwafurumusha masai nje ili wateke eneo.
Wanalipwa naa nani?Kwan hawalipwi?
Hakuna umoja.Hapa kwetu hata wa kuanzisha hayupo
Je wewe umewahi sema ya namna hiyo? Wakati hapa JF tu umejificha kwenye fake ID. Amesema kwa sasa anaendelea na uchunguzi, makaratasi yakitola tu atamtaja. Ila wewe kaama unamjua pia itisha pres au mtajeMwambie Lema aache uoga, yeye yuko Canada anaogopa kutaja jina, otherwise atakuwa mzushi.
Alipaswa kusema Mtu A anataka kujenga hoteli Ngorongoro na ushahidi huu hapa (very clear sio mapichapicha)
Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Babu Mudi, tumia ''taa'' yako iliyo usoni vizuri.Huyu mwizi wa magari kabakisha umbea tu si amtaje huyo mtu mkubwa.
Mkuu wewe kero yako kubwa iko kwenye hao wamaasai kuchimba dawa!😂😂Kama ni hotel inayojali asili haina tatizo. Hao Masai wanaokunya hovyo ndani ya hifadhi wafurumushwe mara moja. Wezi wakubwa wa mifugo. Lema mwenyewe mwizi ndio maana amekimbia nchi. MaCHADEMA hovyoo sana.!
Ngorongoro watahamishwa wanyama.Hata dhahabu inavyochimwa pale Geita walihamishwa watu, Pale Mererani pia walihamishwa watu tanzanite ichimbwe... Ngorongoro pia wanapaswa kuhama watu ili utalii ufanyike na mahoteli yajengwe....
Chui jike
Chawa tulia.Je sheria imezuia kujenga hotel Ngorongoro? Kwani hakuna hotel? Vipi angetaka kujenga mtu mdogo ingekuwa nongwa?
Acheni upumbavu usio na faida nyie machadomo.