Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia ni huyu huyu anaejenga ile ya zenzi.Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Aliandamana mwenyewe?Mapinduzi ya tunisia alianzsha mtu mmoja tu
Lakini alianzishaAliandamana mwenyewe?
Alimaliza mwenyewe?
Kama watu wasingejitokeza probably angepotezwa na story yake kuishia hapo.
But walionyesha umoja. Umoja is the key
Haijalishi. Wananchi wasingejitokeza , wasingefika hapo.Lakini alianzisha
Huko bara maeneo ya hifadhi yatauzwa yote miaka hii . Mwinyi aliuza Loliondo na kujiunga OICLazima atakuwa muarabu huyo
Hata uwanja wa mnazi mmoja ni lzm uuzweHuko bara maeneo ya hifadhi yatauzwa yote miaka hii . Mwinyi aliuza loliondo na kujiunga OIC
Hapa kwetu hata wa kuanzisha hayupoHaijalishi. Wananchi wasingejitokeza , wasingefika hapo.
Msaada, Hivi ni haramu/vibaya kujenga Hotel Ngorongoro?Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspache muda mfupi uliopita.
Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.
Swali: Mtu huyu ni nani?
Ijengwe tu sasa Lukuvi Sio Waziri tena, Riziwani ni mwekezaji zako Pia, , ole nasha mbunge wa Ngorongoro Alisha tangulia mbele Za haki na Mwisho JPM hayuko tena.Msaada, Hivi ni haramu/vibaya kujenga Hotel Ngorongoro?
Nauliza tu nipate elimu ya hili
William Tata Ole Nasha R.I.PItakuwa eneo lenyewe ndilo lililokaliwa na na wamaasai, sasa kampeni ni ya kuwatoa wamaasai ili huyo mtu ajenge hotel, siyo bure!
Ghafla kuna movement ya Ngorongoro!