Godbless Lema: Kuna mtu mkubwa anataka kujenga hoteli Ngorongoro

Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspace muda mfupi uliopita.

Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja.

Swali: Mtu huyu ni nani?
Kwa hiyo kuna tatizo gani?
Yeye akae huko huko ajenge nchi ya Canada kwa raha zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…