Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Wee pumba kweli! Sidhani kama umeelewa kilichoshauriwa. Au, ulivyosoma tu jina la aliyetoa ushauri, basi umekurupuka na kuandika ulichoandika. Usitishwe na RANGI YA KITABU. Soma maandishi yaliyoandikwa ndani!
 
Ni kweli kabisa huo ujinga wa kujifanya hamuwezi kushauriwa na asiye wa upande wenu ndio ulio wafanya leo mnalia lia kumzika mungu wenu mliye mtengeneza
 
Ni kweli kabisa huo ujinga wa kujifanya hamuwezi kushauriwa na asiye wa upande wenu ndio ulio wafanya leo mnalia lia kumzika mungu wenu mliye mtengeneza
Kwan we hujawahi kufiwa ukalia?
 
Wee pumba kweli! Sidhani kama umeelewa kilichoshauriwa. Au, ulivyosoma tu jina la aliyetoa ushauri, basi umekurupuka na kuandika ulichoandika. Usitishwe na RANGI YA KITABU. Soma maandishi yaliyoandikwa ndani!
Yaani Lema anaishauri ccm!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…