Godbless Lema: Nimeondolewa Zoom baada ya sura yangu kuonekana katika mkutano wa Balozi na Watanzania waishio Canada

Ilikuwa meeting ya watanzania au meeting ya kamati ndogo iishiyo kanada ya ccm??
 
Wewe ndiye mpumbavu!. Umeambiwa "Watanzania waishio Canada". Ulitaka mwaliko gani zaidi? Angelikuwa na specific invited members, kwa nini Lema alia access Mkutano? Acheni umbweha. Pumbavu.
 
Mwanasiasa wa ovyo unaeshiriki mazishi ya mbwa ulitaka ukaongee nini huko kwenye mkutano wa mh Balozi...
Serikali ikiwa chafu, inakuwa chafu kwa matendo yake. Na macho ya wananchi na majirani yanaona. Huhitaji kusema abc kachafua au kasafisha nchi, huo ni uwenda wazimu,if ur at least form 6 level graduate
 
Nasisitiza ibilisi joka kuu aliacha smetuharibia nchi na utaifa wetu kwa roho yake mbaya na chuki ambavyo alifanikiwa kuvipanda miongoni mwa wabaya wenzie.
Hivi, unapomtukana hivi Magufuli, unajua kwamba uko chini ya Mungu mwenye kuhukumu kwa haki bila ushabiki wala mihemko?

1. Kama wewe unaona Magufuli alikuwa mbaya hivyo na hakuna jema hata moja alifanya kwa taifa, ni kweli hata Mungu anaona hivyo?

2. Ufahamu wako unamwona Magufuli ni rais mbaya kuliko wote katika historia ya taifa. Hata watu wenye akili timamu na nia njema kwa taifa wanaona hivyo?

3. Siku ukija kugundua kwamba katika hayo unayomsagia meno nayo Magufuli, kuna moja tu, hakufanya yeye, bali lilifanyika sehemu fulani ambayo hata yeye hakuwa na uwezo wa kuzuia, akapewa taarifa tu; sehemu ambayo hata yeye ilimdhibiti kufanya baadhi ya mambo aliyotamani kuyafanya tofauti na alivyofanya; sehemu ambayo pengine inafanya hata kiongozi aliyepo afanye kwa rangi inayoonekana katika masuala mbali mbali; UTASEMA NINI KWA NAFSI YAKO? UTAKUJA MTANDAONI UOMBE RADHI?

4. Wakati ULIMBOKA anang'olewa meno na kucha, ilikuwa kipindi gani kweli?

5. Unaju akwamba kuna siku utakufa na kwenda mbele za MUNGU ambako kila jambo litawekwa wazi?

Uwe na akiba ya maneno kwa kuwa hujui mambo yote.
 
Malaya hawakai katika madanguro tu, unaweza kuta hata mama au dada yako ni malaya na anakaa nyumbani, kuwa mstaarabu.
Na wewe ni mtoto wa malaya kwa kuwa unajuwa kuwa akina mama na akina dada wanapatikana madunguro
 
Km hakukaribishwa hio link aliipatia wapi?
 
Magufuli anahusika vipi hapo
 
Basi angealika Wana CCM, waishio Canada sio watanzania waishio Canada. Kuweni na akili nyie mazuzu.
 
Mbona hueleweki? Naona bado una kiwewe. Pole sana ndugu. Ni mipango ya Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…