Huo uhakika kuwa ni raia wa ethiopia wewe umeupata wap? Uliwapakiza wewe kwenye hayo makontena?Una uhakika ni maiti za watanzania na si raia wa Ethiopia waliokuwa katika makontena?!!!
Mnauziiiiiii
Sisimamii mifisadi na Sina mpango .Hivi wewe Yehodaya ni mwanaCCM kweli ?!!!
CCM gani asiyesimamia ITIKADI ya chama kwa kumtetea tu kiongozi mmoja hayati JPM na kukidharau chama na VIONGOZI wengine?!!!
Unafiki hauwasaidii.....
Unafiki wenu kamwe hautaiangusha CCM.....
Endeleeni kujitia hamaniko la nafsi na kujiumiza tu mioyo yenu......
SIEMPRE CCM
Kachelewa angalau Gwajima kawahiLema anaenda na upepo unapoelekea,hapa kazichanga karata vizuri sana
Wewe mbona unabeba boksi huko Denmark!? Au ndio yale ya nyani kucheka kundu la mwenzie? Rudi nyumbani uogelee kwenye mgao wa maji na umeme. Muhula wa 3 wa vasco da gama wa msoga huu, kwa hiyo kinachotokea wala si kipya.Lema anarukaruka kama tumbili vile.....amekuwa POLITICAL COMMENTATOR 🤣🤣🤣
Aendelee tu kubeba boksi huko CANADA.....
Sisi tupo tunachapa nyumbani kazi kwa kwenda mbele.....
#SiempreJMT
#KaziIendelee
Kumbeee....Sisimamii mifisadi na Sina mpango .
Kero ya umeme na maji imalizike Kama kipindi Cha Cha Magufuli na zaidi
Magufuli alifikisha mbali umeme na maji kuhakikisha havikatiki hovyo
Ilani gani isiyotatua kero za wananchi Kama kipindi Cha Magufuli?
🤣🤣🤣Mimi sibebi boksi mkuu ha ha ha hiyo ni kazi ya Lema mkuu.....Wewe mbona unabeba boksi huko Denmark!? Au ndio yale ya nyani kucheka kundu la mwenzie? Rudi nyumbani uogelee kwenye mgao wa maji na umeme. Muhula wa 3 wa vasco da gama wa msoga huu, kwa hiyo kinachotokea wala si kipya.
Hivi Masoud Kipanya hawezi kutuchorea huyo ng'ombe anaekunywa maji mpaka anasababisha ukame!!??TAARIFA YA SERIKALI KUPITIA PM NA MM
1) Ng'ombe wamekunywa na kumaliza maji; Mito na vyanzo vya maji vimekauka; 3) Ng'ombe mmoja anakunywa lita 30 kwa siku, ng'ombe 1000 ni lita 30,000; 4) Hali hiyo imepelekea ukame mkubwa sana na hata mabwawa ya kufua umeme yamekauka kwa ng'ombe kunywa maji mengi sana na uzalishaji umeme umepungua sana hadi kuanza kwa mgao wa umeme; 5) Ni marufuku kuanzia sasa ng'ombe kunywa maji ovyo na hakuna kulima mchicha karibu na mito. VERY SIMPLE....
View attachment 2016550
Sakala ni mkuu wa mkoa wa dsm. Yaani kukaa kwako arusha miaka ile kabla ya Lema kuwa mbunge ndio kujifanya kumjua Lema! Eti Kila mtu, uliwauliza!?Msema kweli hafanyi Yale aliyokuwa akiyafanya ARUSHA.....kila mtu wa ARUSHA anamjua huyo sakala.....
Una uchungu na nchi!? Rudi nyumbani uje kulipwa mshahara mkia wa mbuzi.Watanzania tuko milioni 60 ikipingwa wewe ,Lema na masakala wachache inatosha tu......
Kumbe Lema na Lissu hawana uchungu na nchi eee????!!!🤣Una uchungu na nchi!? Rudi nyumbani uje kulipwa mshahara mkia wa mbuzi.
Acha kupotosha" kama ni matapeli, kuna mtanzania yeyote ambae hajui wapinzani walinunuliwa kwa pesa? Mliwezaje kununua matapeli!?Ndio maana watanzania walio wengi wanawaona ni matapeli......
Wewe kama hutaki kuhudumia wazungu huko rudi nyumbani utumikie serikali.🤣🤣🤣Mimi sibebi boksi mkuu ha ha ha hiyo ni kazi ya Lema mkuu.....
Hii ni awamu ya 6 mkuu.....awamu mpya kabisaaaaa.....
#KaziIendelee
#SiempreJMT
Mda mwingine muwe mnafikiria kila siko kuropoka ropoka tu!Kwa hiyo maiti za watanzania wasio na hatia kuokotwa kwenye viroba fukwen ndo kusimamia maslahi ya taifa?!!!!!!
Halleluia naona sasa umeanza kuongea lugha moja na Lema.