Huo uhakika kuwa ni raia wa ethiopia wewe umeupata wap? Uliwapakiza wewe kwenye hayo makontena?Una uhakika ni maiti za watanzania na si raia wa Ethiopia waliokuwa katika makontena?!!!
Na vip kuhusu tundu lisu kumiminiwa marisasi? Vip akwilina akwilin? Vip ben saa nane? Vip mawazo? Vip? Vip? Vipiiiii?
Vip kikundi cha watu wasijulikana kutamalaki, kuteka na kutesa watu? Mbona sasa hivi tangu aingie mama hayo maovu dhidi ya binadamu hayasikiki tena?!!! Nani alikuwa akiyaruhusu?!!! He should suffer in the internal fire tuuuu