mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Hakuna !!Ni nchi gani iliyofanikiwa kiuchumi na raia wake wanatumia bodaboda kama usafiri wa umma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna !!Ni nchi gani iliyofanikiwa kiuchumi na raia wake wanatumia bodaboda kama usafiri wa umma?
Ni wachache watakao muelewa Lema, wana siasa wa Tanzania wange kua wawazi na wa kweli kama Lema, tungekua mbali sana huwezi kutegemea maendeleo kwa jamii ilio jaa vijana wanao endesha boda bodaboda.Godbless Lema akiwa Mwanza amesema “Ukiona dereva bodaboda ameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka, hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini.
"Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa, mtaumwa vifua, viuno, migongo na wengine mtakuwa vipofu kutokana na upepo.”
Huyu jamaa ni mjing* sana na hoja zake za kipuuzi watu wanendesha ndege na wanakufa kifo ni fumbo haijalishi unafanya kazi gani na Rais Samia Suluhu anaendelea kuwawezesha vijana wajiajiri kupitia usafirishaji (Bodaboda) kilimo na biashara zingine kwaiyo asitake kuwarudisha vijana mtaani ili wizi uongezekeGodbless Lema akiwa Mwanza amesema “Ukiona dereva bodaboda ameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka, hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini.
"Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa, mtaumwa vifua, viuno, migongo na wengine mtakuwa vipofu kutokana na upepo.”
Ukiwa na akili level yako huwezi mwelewq Lema.Nmeamini huyo jamaa hana akili
Hajui kama yeye pia baada ya miaka 20 atakua anaumwa OA atake au asitake?
Umenichekesha sna japo umeelezea upuuzi, kwamba madereva au au na abiria wetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutakufa madereva tu au pamoja na abiria wetu?
Lema amekaa kwa mabeberu ameharibiwa akili.
Sawa ila we kaa ukijua hata aishije akifika miaka 60 OA ni yake awe bodaboda awe raisi awe mbungeUkiwa na akili level yako huwezi mwelewq Lema.
Onaongelea kuhusu yule shetan, haya kawatoa wapi nyie wanyonge mpaka wapi?Ana maelekezo ya kutukana,kushughulika na wanyonge waliompenda Magu aliyedhamiria kulinyanyua tabaka hili mbeleni.
Mimi wa kike, umejuaje?Sawa ila we kaa ukijua hata aishije akifika miaka 60 OA ni yake awe bodaboda awe raisi awe mbunge
Ila kwa kua wewe ni wa kike mkuu na unapata menses wewe ukifika 50 tu OA unayo
Kwani uwongo???
Mfano,uwe unakaa gongo la mboto na kila siku uwe una piga trip za kuja moroco,hutamaliza miezi 3,6 lazima utakutana na jambo,kama siyo ajali ya kukuletea kilema basi kifo
Ova
wanaofanya kazi viwanda vya plastic , cement, chuma , madawa ya mifugo na binadamu, migodini watakiwa wapi baada ya miaka 20 jibu ili swali , Lema na watu kama nyinyi mmegoma kufikiri kabisaNi wachache watakao muelewa Lema, wana siasa wa Tanzania wange kua wawazi na wa kweli kama Lema, tungekua mbali sana huwezi kutegemea maendeleo kwa jamii ilio jaa vijana wanao endesha boda bodaboda.
Anaongea kama anavyojamba!
Lema ana akili ya kuku.Godbless Lema akiwa Mwanza amesema “Ukiona dereva bodaboda ameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka, hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini.
"Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa, mtaumwa vifua, viuno, migongo na wengine mtakuwa vipofu kutokana na upepo.”
kipi kisichoeleweka alichoongea,,, punguza mahaba,, jamaa mjuaji kupitiliza afu ana katabia flani hivi ka kujiona yeye ndo important person kisa kabutua,,Ukiwa na akili level yako huwezi mwelewq Lema.
Hakuna aliyewakataza kugombeaNaona vijana wote tugombee ubunge tu maana ndio kazi ambayo hata Lema aliifanya.