Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Ndo mwisho wako wa kufikiriKwahiyo waache kuwa maboda boda wWe wakabaji, au mashoga. Ndo mnataka mumpe uongozi huyo lema mxiew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mwisho wako wa kufikiriKwahiyo waache kuwa maboda boda wWe wakabaji, au mashoga. Ndo mnataka mumpe uongozi huyo lema mxiew
Hizo ni harakati za kutafuta pesaKwani uwongo???
Mfano,uwe unakaa gongo la mboto na kila siku uwe una piga trip za kuja moroco,hutamaliza miezi 3,6 lazima utakutana na jambo,kama siyo ajali ya kukuletea kilema basi kifo
Ova
Basi ngoja twende huko huko na uzuri wengi tunajua kusoma na kuandika hivyo tunavyo vigezo, mihela ya bure bure ipo yani ukikaa tu na kupiga makofi unalipwa sio kama bodaboda hadi upigwe na upepo na jua.Hakuna aliyewakataza kugombea
Siasa inalipa, tujazane huko ndio kwenye hela kazi ndogo pesa nyingi.Boda boda ni kazi ya kimaskini ila ni kazi kuliko kukaa bila kazi.
Yap. Inalipa kweli ukipata nafasi. Ila kama huna gari nani atakuwaisha kwenye vikao na boda wote ni wanasiasa?Siasa inalipa, tujazane huko ndio kwenye hela kazi ndogo pesa nyingi.
Asante kwa ufafanuzi mzuriWale apolo wa marerani, wakitoka shimoni inawahurumia, nao watakufa mda gani? Lema ukishapata usidharau kazi za watu. Huyo bodaboda haendeshi milele, akipata mtaji anafungua biashara ingine.
Zipo taxi au uber.Yap. Inalipa kweli ukipata nafasi. Ila kama huna gari nani atakuwaisha kwenye vikao na boda wote ni wanasiasa?
Tumia fursa hiyoBasi ngoja twende huko huko na uzuri wengi tunajua kusoma na kuandika hivyo tunavyo vigezo, mihela ya bure bure ipo yani ukikaa tu na kupiga makofi unalipwa sio kama bodaboda hadi upigwe na upepo na jua.
Hakuna apolo mzima wote wanaumwa vifuaWale apolo wa marerani, wakitoka shimoni inawahurumia, nao watakufa mda gani? Lema ukishapata usidharau kazi za watu. Huyo bodaboda haendeshi milele, akipata mtaji anafungua biashara ingine.
We unaefikiri unawaza nini 🚮Ndo mwisho wako wa kufikiri
lema kaishA filwALema angeachana na ishu hizi za Bodaboda mbona ishu zipo nyingi Tu za kuongelea jukwaani
Ana uhakika wa kupewa ubunge ndio maana anajifanya et anasimamia ukweli anasema hata wasipompa kura hajali.Lema ana matatizo ya akili au msongo wa mawazo Geordavie kamwambia atafute pesa aache mboyoyo.
Kisha kuwa mtabiriGodbless Lema akiwa Mwanza amesema “Ukiona dereva bodaboda ameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka, hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini.
"Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa, mtaumwa vifua, viuno, migongo na wengine mtakuwa vipofu kutokana na upepo.”
some human errors just not a case, The moist pain point is tell the poor reality. faking is always bad